Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,594
- 9,338
DC gambo kawadhalilisha wanawake kwa ujumla! kumwambia mwanamke ana "degree ya chupi" ni tusi sio tu kwa najum bali kwa wanawake wote nchini!
Pius msekwa alipokuwa spika alishawahi kuomba radhi kwa kauli yake ya "wivu wa kike"
Mwanasheria mzima anataka kufanya kazi na wanasiasa!!! Kama anaona vipi awatose tu aje kuwa wakili wa kujitegemea, period! Then aanze kuifuatilia hiyo kesi forthwith! Upuuzi sana wamwfanya, how could people behave like this? Unatukana mu ana degree ya pichu then unatumia mabavu!! Wanasheria onyesheni msimamo wenu with no mercy!