Wewe nani? Una impact gani kwenye Nchi hii mpaka utoe mapovu hapa?? Watu kwenye akili tunajua anachofanya Rais watu!! Wewe nenda kaandamane na kudeki Barbara period!!Aliyekwambia rais! Wetu anashaurika nani?Eti Amir Jeshi mkuu askari wake 8 wanafariki badala ya kwenda kutoa pole na kuwatia nguvu askari waliosalia anakwenda kufungua Mabweni na Majengo kazi ambayo ingefanywa na Waziri wa ujenzi!Halafu tukiongea, eti IGP atakashughulikia watu wa mitandao!Alieturoga kafa..Mwafaaa
Mhusika mkuu aliyetakiwa kuwepo kwenye msiba na kuwafariji wafiwa kaenda kwenye sherehe ya ufunguzi.Aliyekwambia rais! Wetu anashaurika nani?Eti Amir Jeshi mkuu askari wake 8 wanafariki badala ya kwenda kutoa pole na kuwatia nguvu askari waliosalia anakwenda kufungua Mabweni na Majengo kazi ambayo ingefanywa na Waziri wa ujenzi!Halafu tukiongea, eti IGP atakashughulikia watu wa mitandao!Alieturoga kafa..Mwafaaa
Sherehe za kufungua vibweni ndio maendeleo? Si angeenda mkuu wa mwenyekiti wa serikali ya mtaa.Achen unafiki, angeenda msiban mngeponda pia, hamnaga jema nyie,
Maendeleo kwanza, wale wameshalala mauti,
Wewe ulienda?
Punguza jazba mkuu unapojibu hoja ambayo hukuulizwa wewe. Kama si lazima Rais aende kila mahali, alikuwa na ulazima gani wa kwenda UDSM? Kwa unavyoona wewe na jazba zako kama mtekaji, nini kina uwezekano wa kusubiri kingine kati ya mazishi na uzinduzi wa magofu?Serikali ina utaratibu zake za kufanya kazi usiwafundishe kazi na usifikiri Ikulu pale wote hawajui kuwa kuna askari Polisi 8 wameuwawa huko Pwani na wanaagwa Polisi Barracks hiyo Jana.
Usipende kulaumu tu sio kila mahali Rais lazima aende kama unavyotaka wewe.
Serikali ina utaratibu zake za kufanya kazi usiwafundishe kazi na usifikiri Ikulu pale wote hawajui kuwa kuna askari Polisi 8 wameuwawa huko Pwani na wanaagwa Polisi Barracks hiyo Jana.
Usipende kulaumu tu sio kila mahali Rais lazima aende kama unavyotaka wewe.