Kwa hiyo unataka kutuaminisha hata Raisi anakosea sasa hivi pale anapoendelea kufanya shughuli za urais wakati yuko kwenye kipindi cha kampeni? maana yake naye anafanya kampeni kwa sababu huwezi tenganisha mtu kwa nafasi mbili
Waliofikiri kama wewe ndiyo wale tunao waitaga POYOYO
leta hoja za maana siyo tunapoteza muda wetu kusma utumbo
wewe ndiyo mwenye ushauri mbaya sasa
Waliofikiri kama wewe ndiyo wale tunao waitaga POYOYO
leta hoja za maana siyo tunapoteza muda wetu kusma utumbo
wewe ndiyo mwenye ushauri mbaya sasa