Aliyemrudisha Kim Poulsen kuwa kocha wa Taifa Stars amelenga nini?

Kwanza kujiendeleza wenyewe bila support ya government ni ngumu. Kumbuka licences za uefa can cost up to 30million. Tuwe wakweli makocha wangapi wazawa wanaweza kulipa that amout ukizingatia wakati wao wanacheza pay ilikuwa magumashi?

Kuhusu kufundisha simba na yanga hapo wala hamna tatizo. Ni nadra sana mtu kwenda kufundisha nje ya nchi kama hajaweza fundisha top team kwenye nchi yake. Mfano hai tunao hapa tanzania. Kayuni pekee alienda fundisha kenya akitokea yanga. Leo hii tunamuona mosimane al ahly kwa sababu alifundisha mamelodi ambayo kupitia champions league ndio akaonekana. Chukulia italia pia..ancelotti, conte, capello wote walifundisha timu kubwa nchini kwao ndio wakatoka nje. Hiyo ndio trend kwenye mpira.

Ofcoz timu ya taifa sio ya majaribio. Kwa kupitia mikakati mizuri unakuwa umeshamuandaa kocha wakuja kurithi national team. Huyo kocha wa wapinzani wetu jana amefundisha u20 women national team na ndio kapewa timu ya wakubwa. Ni mchakato mrefu na mipango ya muda mrefu sio kwamba unakurupuka tuu.
Hawa makocha wa Burundi waliojazana huku wamefundisha top timu gani kwao.
Baraza alikuwa anafundisha top timu gani kwao.
Kaseja pamoja na kuwa bado anacheza tayari ameshaanza kusomea ukocha, kwa mshahara na marupurupu anayolipwa Matola ni wazi ana uwezo wa kulipa miliono 30.
 
Hawa makocha wa Burundi waliojazana huku wamefundisha top timu gani kwao.
Baraza alikuwa anafundisha top timu gani kwao.
Kaseja pamoja na kuwa bado anacheza tayari ameshaanza kusomea ukocha, kwa mshahara na marupurupu anayolipwa Matola ni wazi ana uwezo wa kulipa miliono 30.
Warundi kujazana hapa kwetu sii ujinga wetu wenyewe which evetually showed tulivyoaibika chan.

Pamoja na kwamba finacial muscle ni issue pia elimi ni drawback kwetu sisi. Wewe unasema kulipa 30m uwezo anao...thats a single licence kaka.

Kujiendeleza kwa kaseja ni kuzuri na alongezwe kwa hilo but at some point lazima government au clubs ziwekeze kwa makocha wao. Example matola simba ndio inatakkwa kumlipia akasome, amechezea hiyo club na amefundisha so simba shuld invest in him ili baadae yeye ndio awe head coach hapo.
 
Hawa makocha wa Burundi waliojazana huku wamefundisha top timu gani kwao.
Baraza alikuwa anafundisha top timu gani kwao.
Kaseja pamoja na kuwa bado anacheza tayari ameshaanza kusomea ukocha, kwa mshahara na marupurupu anayolipwa Matola ni wazi ana uwezo wa kulipa miliono 30.
Matola mpaka leo hana leseni ya kufundisha timu ya ligi kuu kama headcoach.
 
Mzawa yupi anaweza kufundisha timu yetu ya taifa ?

Julio amekuwa kocha wa under 20 na under 23 kwa muda mrefu sana lakini kila mechi anapokea vipigo tu
Swali je julio kupewa hizo timu was he the best candidate?
Kulikuwa na ugumu gani kumpa timu mgunda aende na matola chan?
 
Swali je julio kupewa hizo timu was he the best candidate?
Kulikuwa na ugumu gani kumpa timu mgunda aende na matola chan?
Kuhusu Julio kuwa best candidate or not siwezi kujua kwa sababu sikuwepo kwenye recruitment team.
 
Makocha wazawa wengi ni wababaishaji, wazungu na leseni zao kubwa kila mara wanaenda kuongeza ujuzi pia hawaoni aibu kuomba msaada pale wanapozidiwa.
Sure wengi waswahili swahili tu na hawana ujuzi wowote.

We ulishaona wapi karibu timu zote zinazofundishwa na wazawa zinacheza 4 4 2 ?

ina maana hawana ujuzi mwingine beyond mfumo wa 4 4 2 ?
 
Makocha wazawa wengi ni wababaishaji, wazungu na leseni zao kubwa kila mara wanaenda kuongeza ujuzi pia hawaoni aibu kuomba msaada pale wanapozidiwa.
Wababaishaji wapo na waukweli wapo tuu nchi hii. Tunachotakiwa ni kufanya kazi kwa weledi.
Hao wazungu wenyewe nao wababishaji wapo kibao tuu. Especially wa eastern europe. Wewe ukitaka kujua sie waafrica wapuuzi, juzi juzi tuu hapo kenya gor mahia wameajiri kocha toka brazil ambaye hakuwa na sifa za kuweza kusimamia mechi za caf champions league kisa ni mbrazil tuu.

Uganda wamemsimamisha head coach na kumpa mzawa baada ya poor performance huko chan. Suala zima hapa ni kuweka mikakati ya kuwawezesha local coaches.
 
Ndugu hawa makocha wakiswahili ni virusi hasa huyo Sele! Makocha kadhaa wakigeni pale Bunju wameonja sumu ya unafiki ya huyu jamaa! Kama tunamuhukumu kocha mkuu tusiwaache hawa waswahili wetu!
Ndugu usiwe mwepesi kulaumu bila kuwa na ushahidi tuwatie moyo makocha wetu Wazawa na kama ningekuwa mimi Kiongozi wa TFF kila mwaka ningekuwa nawapeleka nje kupata uzoefu zaidi. Kiukweli hatujawapa kipaumbele makocha wetu Wazawa wanafanya kwa ajili ya passion tu na matola ni kocha mzuri tu na kama kweli ana ishu majungu lete ushahidi
 
Hii ndilo wazo langu tuwasadie kwenda nje wakapate mafunzo mazuri zaid watakaporud watasaidia timu zetu na vijana wetu.
TFF na Serikali wajifikirie kwenye hili michezo inahitaji uwekezaji mkubwa na bila kushikana mikono tutabakia kulaumu kila siku.
Fikiria leo hii kuna academy gani yenye viwango vya kutosha. Pia hizi timu zetu hazina timu za vijana kama unakumbuka kipindi kile tuna timu vijana matokeo yalionekana.
TFF wapo wapo tu na kila mwaka wanapata ruzuku kutoka FIFA na CAF lakin hakuna wanachofanya kupeleka fedha sehemu husika wapo kwa ajili ya simba na yanga tu.
Nalia na TFF bado hawajaweka mikakati dhabiti miaka na miaka kuendeleza soka la TZ
 
Hii ndilo wazo langu tuwasadie kwenda nje wakapate mafunzo mazuri zaid watakaporud watasaidia timu zetu na vijana wetu.
TFF na Serikali wajifikirie kwenye hili michezo inahitaji uwekezaji mkubwa na bila kushikana mikono tutabakia kulaumu kila siku.
Fikiria leo hii kuna academy gani yenye viwango vya kutosha. Pia hizi timu zetu hazina timu za vijana kama unakumbuka kipindi kile tuna timu vijana matokeo yalionekana.
TFF wapo wapo tu na kila mwaka wanapata ruzuku kutoka FIFA na CAF lakin hakuna wanachofanya kupeleka fedha sehemu husika wapo kwa ajili ya simba na yanga tu.
Nalia na TFF bado hawajaweka mikakati dhabiti miaka na miaka kuendeleza soka la TZ
Hizi nchi kama comoro, Burundi hazikuamka hivihivi bali ni mikakati nq matumizi mazuri ya ruzuku toka fifa.
Utaratibu wetu wa kupata viongozi ttf ni mbovu na mara nyingi wanaofanikiwa kupata uongozi wakiingia madarakani kitu cha kwanza ni kuhakikisha hawang'olewi wataanza kuwapa ofa wajumbe nq kujenga mtandao.
Watu wanalaumu kwanini tff wamemrudisha Kim Poulsen yule mtu ana malengo ya muda mrefu na alishayaanza ila wamemrudisha kipindi ambacho si mwafaka.
Kitu kingine kocha aachwe aje na wasaidizi wake.
Nafasi ya mkurugenzi wa ufundi imepwaya pale ndio kunatakiwa mabadiliko ya msingi.
 
Hizi nchi kama comoro, Burundi hazikuamka hivihivi bali ni mikakati nq matumizi mazuri ya ruzuku toka fifa.
Utaratibu wetu wa kupata viongozi ttf ni mbovu na mara nyingi wanaofanikiwa kupata uongozi wakiingia madarakani kitu cha kwanza ni kuhakikisha hawang'olewi wataanza kuwapa ofa wajumbe nq kujenga mtandao.
Watu wanalaumu kwanini tff wamemrudisha Kim Poulsen yule mtu ana malengo ya muda mrefu na alishayaanza ila wamemrudisha kipindi ambacho si mwafaka.
Kitu kingine kocha aachwe aje na wasaidizi wake.
Nafasi ya mkurugenzi wa ufundi imepwaya pale ndio kunatakiwa mabadiliko ya msingi.
Timu hizi ndogo zinazokuja kasi baran Africa Kama madascar burundi comoro Mauritius cape Verde hiz nchi zina mifumo ya URAIA PACHA na wanaushirikiano mzur na watawala wao hvyo wanafaidika n hili swala
Vijana wengi wa kitanzania wanakipiga huko ughaibuni lakn tatzo uraia wa nchi moja unatutesa

Ushauri tff iishauri serikali kwan suala hili lina umuhimu kwa upande wa diplomasia ya michezo

Nchi Kama komoro madagasca tulikuwa tunazibutua zaman goli nyingi

Sudan kusin leo inapiga mpira mwingi na hatuwez shindana nao Tena

Tff wajitafakari vingnevyo tutaachwa mbali Sana
 
Timu hizi ndogo zinazokuja kasi baran Africa Kama madascar burundi comoro Mauritius cape Verde hiz nchi zina mifumo ya URAIA PACHA na wanaushirikiano mzur na watawala wao hvyo wanafaidika n hili swala
Vijana wengi wa kitanzania wanakipiga huko ughaibuni lakn tatzo uraia wa nchi moja unatutesa

Ushauri tff iishauri serikali kwan suala hili lina umuhimu kwa upande wa diplomasia ya michezo

Nchi Kama komoro madagasca tulikuwa tunazibutua zaman goli nyingi

Sudan kusin leo inapiga mpira mwingi na hatuwez shindana nao Tena

Tff wajitafakari vingnevyo tutaachwa mbali Sana
Waulize tff ruzuku wanazopewa na fifa wanafanyia nini, Karia anataka kutumia dola laki moja kukarabati viwanja ambavyo si vyake ni vile vinamilikiwa na ccm kwa kifupi hatuna mipango na watu wanaotakiwa kutupa mipango tunawaacha tunaajili kwa kujuana.
Mtaisingizia serikali lakini tatizo ni mfumo wa tff.
Wakati Simba haina pesa tena ina mwenyekiti ambaye hakufika sekondari wakati huo Dalali walibuni Simba day na mapato waliyopata wakanunua uwanja bunju lakini angalia viongozi wanaojiita wasomi wamefanya nini zaidi ya kuiba na kujilipa mapisho makubwa.
 
Waulize tff ruzuku wanazopewa na fifa wanafanyia nini, Karia anataka kutumia dola laki moja kukarabati viwanja ambavyo si vyake ni vile vinamilikiwa na ccm kwa kifupi hatuna mipango na watu wanaotakiwa kutupa mipango tunawaacha tunaajili kwa kujuana.
Mtaisingizia serikali lakini tatizo ni mfumo wa tff.
Wakati Simba haina pesa tena ina mwenyekiti ambaye hakufika sekondari wakati huo Dalali walibuni Simba day na mapato waliyopata wakanunua uwanja bunju lakini angalia viongozi wanaojiita wasomi wamefanya nini zaidi ya kuiba na kujilipa mapisho makubwa.
Uwanja walipewa na jk mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom