Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,403
- 79,648
Huyo dada aliyerekodi anatakiwa aadhibiwe kwa kitendo alichofanya ili iwe fundisho kwa watu kama hao maana wapo wengi wenye tabia hizoPamoja na hayo sasa ni kukemea mtoto asifanye au ku copy na paste sasa ndiyo kwanza anarekodi huyo mdada na kutuma kwa media