njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Kumbuka ukiwa una insult inteligence ya watu kwa kujiona we mjanja kuna wajanja zaidi yako , utaooongea yooote lakini hii issue wazee wa kazi waseme waingilie kati wafatilie hata bettings za nchi mbalimbali kuna aibu nyuma yake
sasa hata bondia aliyekupiga kabaki na butwaa..he
Anthony crolla ni bondia bingwa zamani wa dunia alikuwa na haya ya kusema
"I think it's been strange behaviour from Hassan all week, he got in the country very late, he wasn't at the presser, I was looking at him in the corner and his body language just seemed very odd. The frustrating thing is, I've got to agree with Liam - I do believe he quit, but the frustrating thing is he's a talented fighter. He was landing some shots of his own. I do believe Liam was going to warm into it and Liam was going to break him up and stop him.
"And maybe that was it. He landed a few very good shots… It was just a strange ending."
mchambuzi wa sky news boxing Johnny Nelson anakuambia jamaa ali dive..wote ni kama vile tu wanashindwa kusema direct kwamba aliuza mechi
sasa hata bondia aliyekupiga kabaki na butwaa..he
Liam Smith left frustrated as he beats Hassan Mwakinyo in bizarre stoppage finish
Liam Smith is victorious in his home city of Liverpool but it's not the finish he wanted; Hasson Mwakinyo bout ends in confusion and controversy after four roundsWhat they say…
Anthony Crolla on the bizarre finish to Smith's win...Anthony crolla ni bondia bingwa zamani wa dunia alikuwa na haya ya kusema
"I think it's been strange behaviour from Hassan all week, he got in the country very late, he wasn't at the presser, I was looking at him in the corner and his body language just seemed very odd. The frustrating thing is, I've got to agree with Liam - I do believe he quit, but the frustrating thing is he's a talented fighter. He was landing some shots of his own. I do believe Liam was going to warm into it and Liam was going to break him up and stop him.
"And maybe that was it. He landed a few very good shots… It was just a strange ending."
mchambuzi wa sky news boxing Johnny Nelson anakuambia jamaa ali dive..wote ni kama vile tu wanashindwa kusema direct kwamba aliuza mechi