IBRAHIMU Saidi [26] kijana aliyempiga kibao Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, amelazwa wodi ya watu wenye matatizo ya akili Muhimbili.
Ibrahimu amelazwa Muhimbili kutokana na uongozi wa Magereza kuamua kumpima kutokana na vitendo vya ajabu ambavyo alivyokuwa anavifanya Gerezani vya kushangaza na si vya kawaida.
Hatua hiyo ya kulazwa imekuja baada ya kuonekana kuwa ana matatizo ya akili kutokana na vipimo vilivyochukuliwa na madaktari kuonyesha kuwa ana matatizo hayo.
Wiki mbili zilizopita Ibrahimu alihukumiwa kwenda jela mwaka mmoja na Hakimu Neema Chusi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na kosa lake hilo alilolifanya la kumpiga Rais huyo mstaafu.
Source: Nifahamishe.com
Ibrahimu amelazwa Muhimbili kutokana na uongozi wa Magereza kuamua kumpima kutokana na vitendo vya ajabu ambavyo alivyokuwa anavifanya Gerezani vya kushangaza na si vya kawaida.
Hatua hiyo ya kulazwa imekuja baada ya kuonekana kuwa ana matatizo ya akili kutokana na vipimo vilivyochukuliwa na madaktari kuonyesha kuwa ana matatizo hayo.
Wiki mbili zilizopita Ibrahimu alihukumiwa kwenda jela mwaka mmoja na Hakimu Neema Chusi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na kosa lake hilo alilolifanya la kumpiga Rais huyo mstaafu.
Source: Nifahamishe.com