Aliyempa mimba mke wa mtu, amnunulia gari mume

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,602
Mwanaume mmoja Raia wa Nigeria
ambaye anaishi Afrika Kusini,
amenunua gari ya kifahari aina ya
Mercedes-Benz G-class, na kumpa
mwanaume mwenzake, ili kumuomba
msamaha kwa kumpa ujauzito mke
wake walipokuwa wakichepuka.
Gari aina ya Mercedes-Benz G-
class.
Mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina
la John, amenukuliwa na moja ya
mtandao wa habari wa Afrika Kusini
unaoitwa Daily Live, akisema kwamba
mume wa mchepuko wake huyo
alimsamehe mara tu baada ya
kumkabidhi gari hiyo.
“Najua nilichokifanya sio kizuri, lakini
najisikia vizuri amepokea zawadi
yangu. Amekubali kuwa mke wake
ambaye ni 'girl friend' wangu ni
mjamzito na hivi karibuni atajifungua
mtoto wa kiume ambaye ni wa kwangu.
Mwanzoni alikuwa na hasira lakini
nilipompa gari hasira zake zilimuisha”,
alinukuliwa John.
Mtandao huo ulipofanya mazungumzo
na mwanaume mwenye mke wake
alinukuliwa akisema kuwa..... “Itakuwa
ni kosa kuniambia mi ni mpumbavu,
suala limeshatokea na hatuwezi
kulifuta, tulikaa chini tukayamaliza
kama wanaume, biblia imesema
tusamhe na kusahau. Siku zote
nilikuwa na ndoto ya kuendesha G-
Wagon, Krismas imekuja mapema
kwangu na familia yangu”.
Mwanaume huyo aliendelea kusema
kwamba ...”mtoto atazaliwa siku si
nyingi nami nitamjali kama mwanangu,
baba yake akitaka kumchukua
kumpeleka kwao Nigeria sitajali,
nitampa ushirikiano wote mke wangu,
hiyo ndio ndoa. Nampenda mke wangu
na sitamuacha kwa sababu ya ujauzito
wake wa bahati mbaya”.
Imetafsiriwa kutoka African Spotlight
 
Mwanaume mmoja Raia wa Nigeria
ambaye anaishi Afrika Kusini,
amenunua gari ya kifahari aina ya
Mercedes-Benz G-class, na kumpa
mwanaume mwenzake, ili kumuomba
msamaha kwa kumpa ujauzito mke
wake walipokuwa wakichepuka.
Gari aina ya Mercedes-Benz G-
class.
Mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina
la John, amenukuliwa na moja ya
mtandao wa habari wa Afrika Kusini
unaoitwa Daily Live, akisema kwamba
mume wa mchepuko wake huyo
alimsamehe mara tu baada ya
kumkabidhi gari hiyo.
“Najua nilichokifanya sio kizuri, lakini
najisikia vizuri amepokea zawadi
yangu. Amekubali kuwa mke wake
ambaye ni 'girl friend' wangu ni
mjamzito na hivi karibuni atajifungua
mtoto wa kiume ambaye ni wa kwangu.
Mwanzoni alikuwa na hasira lakini
nilipompa gari hasira zake zilimuisha”,
alinukuliwa John.
Mtandao huo ulipofanya mazungumzo
na mwanaume mwenye mke wake
alinukuliwa akisema kuwa..... “Itakuwa
ni kosa kuniambia mi ni mpumbavu,
suala limeshatokea na hatuwezi
kulifuta, tulikaa chini tukayamaliza
kama wanaume, biblia imesema
tusamhe na kusahau. Siku zote
nilikuwa na ndoto ya kuendesha G-
Wagon, Krismas imekuja mapema
kwangu na familia yangu”.
Mwanaume huyo aliendelea kusema
kwamba ...”mtoto atazaliwa siku si
nyingi nami nitamjali kama mwanangu,
baba yake akitaka kumchukua
kumpeleka kwao Nigeria sitajali,
nitampa ushirikiano wote mke wangu,
hiyo ndio ndoa. Nampenda mke wangu
na sitamuacha kwa sababu ya ujauzito
wake wa bahati mbaya”.
Imetafsiriwa kutoka African Spotlight
Mmmhh ,mke! !?? Hii ngumu kumeza !
 
Sasa wanaume humu wengi mmesema ni ulofa. Unaweza ukatae na bado wandelee. Sasa nani atakua lofa
 
Sasa wanaume humu wengi mmesema ni ulofa. Unaweza ukatae na bado wandelee. Sasa nani atakua lofa

Weee kuto..mbewa halafu anajitangaza hadharani....eti nimempa, khaaaaas

Kisa anafedha, ataziacha nayeye watamto..mbea aliowacha.
 
Back
Top Bottom