Kaacha mke na watoto sita.ndugu watawagawana.kwa mujibu wa wanafamilia aliondoka kwenda kutafuta riziki ila yakamkuta hayo.Wenzake watamuenzi nakumkumbuka usikute ameacha familia na watoto! inasikitisha
Amekufa kishujaa kabisa pole kwa wanafamilia vipi michango..?Kaacha mke na watoto sita.ndugu watawagawana.kwa mujibu wa wanafamilia aliondoka kwenda kutafuta riziki ila yakamkuta hayo.
Ukimchekea Nyani utavuna mabua.Sijaipenda hii.
Wacha kashafa za kidini hizo au kwa vile wenyewe ni wapole kidogo?
Bado uchunguzi unafanyika michango badaeAmekufa kishujaa kabisa pole kwa wanafamilia vipi michango..?
Bado uchunguzi unafanyika michango badaeAmekufa kishujaa kabisa pole kwa wanafamilia vipi michango..?
2:2hv huyu huwa ni nyani au tumbili??anaejua anijuze