Aliyekuwa Waziri wa Sheria wakati Dr Magufuli anasigina Katiba kwenye suala la CAG akamatwe haraka

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,525
217,787
Kwa Mujibu wa Katiba ya Tanzania, Waziri wa Sheria ndiye Mshauri wa Rais wa Masuala yote ya kisheria na mambo ya Katiba ya Nchi, hivyo basi Rais anapokengeuka na kukanyaga Katiba ya Nchi, Waziri anapaswa kumshauri Bosi wake kwamba, hili unalotaka kulifanya kisheria si sawa, na amuambie kwa herufi kubwa ili mkubwa huyo ajue kweli ameboronga .

Sasa kwa vyovyote vile, yaliyotokea kwenye suala la CAG wa wakati ule, Profesa Assad kuondolewa ofisini kwa vile alikataa kutumikishwa kwenye uongo haliwezi kumuacha salama aliyekuwa Waziri wa Sheria (sikumbuki alikuwa nani), Huyu akikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, Anaweza kutusaidia Mengi tunayojiuliza bila Majibu.

Ni vema akakamatwa haraka kabla hajakimbia nchi, Haiwezekani kuwaacha watu wanaoshiriki mambo ya kufedhehesha Taifa, ni lazima waadhibiwe ili iwe funzo kwa Wasiginaji wengine .

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Tuliomchukia hatukumchukia kwasababu hatupendi MADARAJA, Tulimchukia kwasababu alisigina KATIBA Kwa alichokiita maendeleo.

Yule hakuwa na PhD Bhana. haiwezekani mtu awe na PhD afu ashindwe kuelewa maswaala madogo kama hili la Assad/Jaffar
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Tanzania , Waziri wa Sheria ndiye Mshauri wa Rais wa Masuala yote ya kisheria na mambo ya Katiba ya Nchi , hivyo basi Rais anapokengeuka na kukanyaga Katiba ya Nchi , Waziri anapaswa kumshauri Bosi wake kwamba , hili unalotaka kulifanya kisheria si sawa , na amuambie kwa herufi kubwa ili mkubwa huyo ajue kweli ameboronga .

Sasa kwa vyovyote vile , yaliyotokea kwenye suala la CAG wa wakati ule , Profesa Assad kuondolewa ofisini kwa vile alikataa kutumikishwa kwenye uongo haliwezi kumuacha salama aliyekuwa Waziri wa Sheria (sikumbuki alikuwa nani) , Huyu akikamatwa na kuburuzwa Mahakamani , Anaweza kutusaidia Mengi tunayojiuliza bila Majibu .

Ni vema akakamatwa haraka kabla hajakimbia nchi , Haiwezekani kuwaacha watu wanaoshiriki mambo ya kufedhehesha Taifa , ni lazima waadhibiwe ili iwe funzo kwa Wasiginaji wengine .

Mungu Ibariki Tanzania .
Ni yule yule alie sema kila Mtanzania ange pata NOAH mpya kwa issue ya makinikia
 
Sasa aliyetenda kosa la jinai ni nani ni RAIS au WAZIRI?, Kama ni RAIS kwa nini WAZIRI ashtakiwe?

PILI: Ushauri siyo lazima uchukuliwe, RAIS anayo nafasi ya kuupuuza .Na mwisho kabisa enzi za ASADI zimeshapita kama zilivyopita za NDUGAI( Sasa hivi tunazungumzia masuala yanayotusumbua na siyo kujadili watu.

Mfano wa masuala hayo ni: mfumuko wa bei, mgawo mkali wa umeme na maji, Demokrasia, Katiba mpya isifuate matakwa ya Tabaka tawala bali wananchi, nk.

Kwahiyo, Prof. ASAD siyo kipaumbele za wananchi ( Kama, yeye(ASAD) anadhani kuwa alionewa aende mahakamani).
 
Sasa aliyetenda kosa la jinai ni nani ni RAIS au WAZIRI?, Kama ni RAIS kwa nini WAZIRI ashtakiwe?
PILI: Ushauri siyo lazima uchukuliwe, RAIS anayo nafasi ya kuupuuza .Na mwisho kabisa enzi za ASADI zimeshapita kama zilivyopita za NDUGAI( Sasa hivi tunazungumzia masuala yanayotusumbua na siyo kujadili watu. Mfano wa masuala hayo ni: mfumuko wa bei, mgawo mkali wa umeme na maji, Demokrasia, Katiba mpya isifuate matakwa ya Tabaka tawala bali wananchi, nk.
Kwahiyo, Prof. ASAD siyo kipaumbele za wananchi ( Kama, yeye(ASAD) anadhani kuwa alionewa aende mahakamani).
Tukutane mahakamani
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Tanzania , Waziri wa Sheria ndiye Mshauri wa Rais wa Masuala yote ya kisheria na mambo ya Katiba ya Nchi , hivyo basi Rais anapokengeuka na kukanyaga Katiba ya Nchi , Waziri anapaswa kumshauri Bosi wake kwamba , hili unalotaka kulifanya kisheria si sawa , na amuambie kwa herufi kubwa ili mkubwa huyo ajue kweli ameboronga .

Sasa kwa vyovyote vile , yaliyotokea kwenye suala la CAG wa wakati ule , Profesa Assad kuondolewa ofisini kwa vile alikataa kutumikishwa kwenye uongo haliwezi kumuacha salama aliyekuwa Waziri wa Sheria (sikumbuki alikuwa nani) , Huyu akikamatwa na kuburuzwa Mahakamani , Anaweza kutusaidia Mengi tunayojiuliza bila Majibu .

Ni vema akakamatwa haraka kabla hajakimbia nchi , Haiwezekani kuwaacha watu wanaoshiriki mambo ya kufedhehesha Taifa , ni lazima waadhibiwe ili iwe funzo kwa Wasiginaji wengine .

Mungu Ibariki Tanzania .
Anayestahili kukamatwa ni Ndugai,Samiah Suluhu na Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa,huyo Waziri wa Sheria hakuwa na Meno enzi za Mwendazake maana alikuwa anatekeleza sheria za Mwendazake na siyo sheria za Tanzania.
 
Anayestahili kukamatwa ni Ndugai,Samiah Suluhu na Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa,huyo Waziri wa Sheria hakuwa na Meno enzi za Mwendazake maana alikuwa anatekeleza sheria za Mwendazake na siyo sheria za Tanzania.
Mbona hivyo siyo vile alivyoapa siku alipoteuliwa !
 
Naunga mkono hoja.

Pia Kichere afurushwe.
Assad alipwe fidia arrears zake zote + pesa mpaka yake mpaka Nov 5 ,2024
King Kong III a.k.a sura mbaya kama gunia la mkaa, huyo kiberenge wenu mjahidina alifurushwa na watu wa mfumo, hilo dude ambalo hakuna mwenye kulielewa, kaa utulie ushabikie mpira, huyo mjahidina hawezi kamwe kupata stahiki aina yeyote na huyo mjahidina Zitto naye anapoteza muda tu. Udini udini udini udini sijui kwa nini Mungu hawapi somo watu kama Zitto watambe na kueneza chuki za udini????
 
Kwa Mujibu wa Katiba ya Tanzania, Waziri wa Sheria ndiye Mshauri wa Rais wa Masuala yote ya kisheria na mambo ya Katiba ya Nchi, hivyo basi Rais anapokengeuka na kukanyaga Katiba ya Nchi, Waziri anapaswa kumshauri Bosi wake kwamba, hili unalotaka kulifanya kisheria si sawa, na amuambie kwa herufi kubwa ili mkubwa huyo ajue kweli ameboronga .

Sasa kwa vyovyote vile, yaliyotokea kwenye suala la CAG wa wakati ule, Profesa Assad kuondolewa ofisini kwa vile alikataa kutumikishwa kwenye uongo haliwezi kumuacha salama aliyekuwa Waziri wa Sheria (sikumbuki alikuwa nani), Huyu akikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, Anaweza kutusaidia Mengi tunayojiuliza bila Majibu.

Ni vema akakamatwa haraka kabla hajakimbia nchi, Haiwezekani kuwaacha watu wanaoshiriki mambo ya kufedhehesha Taifa, ni lazima waadhibiwe ili iwe funzo kwa Wasiginaji wengine .

Mungu Ibariki Tanzania.
Sasa unachelewa nini kuchukua RB ili umkamate. 😀😀😀😀😀Mnatupigia kelele usiku wote huu.
 
Back
Top Bottom