TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,253
- 2,023
Usalama wa taifa labda wa enzi ya mwalimu hawa wa siku hz wanalinda fisiem mambo ya nchi hayawahusuhivi Takukuru ni Bora kuliko Usalama wa Taifa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usalama wa taifa labda wa enzi ya mwalimu hawa wa siku hz wanalinda fisiem mambo ya nchi hayawahusuhivi Takukuru ni Bora kuliko Usalama wa Taifa?
Unatafuta habari?'Mhe. Rais Magufuli amempongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Jacob Kingu kwa kuandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake ili kuwajibika kwa dosari hiyo, na amewashangaa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola na Kamishna Jenerali wa Zimamoto na Uokoaji (CGF) Thobias Andengenye kutowajibika kwa dosari hiyo-Barua ya Gerson Msigwa
Nionyeshe amelisanuaje hapo.
dodge
Hata mi nilishajiulizaga hili.Mtu aliywmewahi kuwa na mashitaka ya rushwa hakupaswa kuwa waziri in the first place.
Mteuaji hayupo makini au ana sababu zake binafsi za kufanya hivyo.
Nilishangaa sana Kangi kuteuliwa kuwa waziri. Hafai!
Yule ni Katibu mkuu ndie alimsifu sio naibuWkt Magu ile Juzi pale ikulu alisema Naibu katibu mkuu alijua kinachoendelea na hakuchukua hatua yoyote na baadae akampiga na Madongo kidogo Masauni(N/Waziri)
Sasa inakuaje wewe unakuja tena kusema naibu katibu mkuu alichomesha huo mchongo?
dodge
Wapi nimesema alimsifu Naibu?
Jiwe ni mkurupukaji mkubwa na anafanya makosa makubwa sana nchi hii bahati yake ni kwamba anaongoza wasiofikiri sana na wanafiki wakubwa.Mtu aliywmewahi kuwa na mashitaka ya rushwa hakupaswa kuwa waziri in the first place.
Mteuaji hayupo makini au ana sababu zake binafsi za kufanya hivyo.
Nilishangaa sana Kangi kuteuliwa kuwa waziri. Hafai!
Alikuwa juu ya ulinzi sasa yuko chini ya ulinzi.Ila huyu mzee matukio ya rushwa rushwa hayampitii mbali kabisa...kipindi kile mwanzo mwanzo mwa 2015 yeye na sadiq murad pia walikumbwa na skendo ya rushwa lakini hakutaka kujifunza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Awakatikie tu viuno walinzi wakiachia upenyo awatoroke- kangi can do this
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujuzwa: Hivi mikataba ya kimataifa wizara husika inaweza kuingia bila kuidhinishwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko siku jiwe yatampata haya pia, si anajiita kichaa ajue akili zitakaa sawa tu.Haiwezekani. Ndio maana umeambiwa walitumia loop hole mwanasheria mkuu alipopata msiba wa karibu yake ndio wasaidizi wakapiga mkono fasta kwa influence ya bwana kangi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unauwezo mdgo wa kujenga hoja kama mwana ccm? Kwani una matatizo gani mana kila kitu unasema unaogopa mimba, au bado dent.
hivi Takukuru ni Bora kuliko Usalama wa Taifa?
umekurupuka kunijibu ingawa hujaleta jibu kamili,haujaelewa misingi ya swali langu, wajuzi wamenielewa wewe kaa kimyaSoma majukumu yao taasisi hizo mbili utajua nani zaidi na kwanini?