Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,598
- 8,395
Daaahh yani siku hizi utamu wa kuwa kiongozi serikalini ni kama unakuja afu unakataa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kenye hotuba ya Jpm mbona hilo swali liliwekwa wazi?Naomba kujuzwa: Hivi mikataba ya kimataifa wizara husika inaweza kuingia bila kuidhinishwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku za mwizi ni arobainiLugola rushwa inatembea kwenye damu, sasa amepatikana
Lkn katibu mkuu (Major Gen.) Yeye kapewa ubalozi tayari.Mkuu kenye hotuba ya Jpm mbona hilo swali liliwekwa wazi?
Kwamba 'walimtaim' mwanasheria mkuu akiwa likizo ya kuuguza ndiyo wakafanya waliyoyafanya.
Hili 'saga' litakula vichwa kuanzia wizarani, ofisi ya mwanasheria mkuu na fire.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante MkuuMwanasheria mkuu alikuwa msibani ila vijana wake walihusika wakasaini kwa niaba.....nao wanachunguzwa!
Wasaidiz wake walipitisha, yeye akiwa msibani kwa mkeweNaomba kujuzwa: Hivi mikataba ya kimataifa wizara husika inaweza kuingia bila kuidhinishwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Jimbo anaandaliwa kipenzi cha watu musibaz.Naona sasa ndiyo basi Kangi Lugola hawezi tena kuwa Mbunge katika Serikali ya Awamu ya Tano.
Wadau JF walilaani hicho kitu lakini wapi!! na hii nayo huenda ikaishia kusikojulikana kama kontena za dar ambazo mtu alijimwambafai kuwa atajiuzulu iwapo kodi haitalipwa lakini wapi YUPO nae pia YUPOMtu aliywmewahi kuwa na mashitaka ya rushwa hakupaswa kuwa waziri in the first place.
Mteuaji hayupo makini au ana sababu zake binafsi za kufanya hivyo.
Nilishangaa sana Kangi kuteuliwa kuwa waziri. Hafai!
Si ulisikia Mh. alisema jamaa wa ofisi ya AG walisubiri Mwanasheria Mkuu alipofiwa mkewe wao huku nyuma wakafanya yao?Naomba kujuzwa: Hivi mikataba ya kimataifa wizara husika inaweza kuingia bila kuidhinishwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali??
Sent using Jamii Forums mobile app