Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
UMauti ya kisiwa cha amani umeshafika. Petroli tayari ipo, kinachohitajika ni kiberiti tu ambacho nacho kipo njiani kinakuja.
Vijana wanalia njaa, baada ya kutatua shida zao mnakimbilia kumkamata Lowasa.
Hivi ni Rais wa namna hii ndio tulimuhitaji Tanzania? Swali bado pevu, tunamiaka 4 imebaki ya kutafakari.
Vijana wanalia njaa, baada ya kutatua shida zao mnakimbilia kumkamata Lowasa.
Hivi ni Rais wa namna hii ndio tulimuhitaji Tanzania? Swali bado pevu, tunamiaka 4 imebaki ya kutafakari.