MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,262
- 1,220
Rais Samia amemteua ndugu Rodrick Mpogolo aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu BARA WA CCM kuwa Katibu Tawala mkoa wa Katavi, hii imekaaje?
Kiongozi wa Kisiasa kupewa nafasi ya uongozi wa kiutawala Serikalini tena ni Technical post. Mhhh, nimeshangazwa Kama ilivyo kwa wanajeshi wasio wastaafu kupewa ukuu wa mkoa na Baadaye kurudishwa JESHINI, naona haiko sawa.
Mwaonaje wadau?
Kiongozi wa Kisiasa kupewa nafasi ya uongozi wa kiutawala Serikalini tena ni Technical post. Mhhh, nimeshangazwa Kama ilivyo kwa wanajeshi wasio wastaafu kupewa ukuu wa mkoa na Baadaye kurudishwa JESHINI, naona haiko sawa.
Mwaonaje wadau?