Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,184
- 2,471
Laana ya usaliti haimuachi mtu. Anajiangamiza mwenyewe.Leo leo anatumbuliwa. Stay tuned.
Laana ya usaliti haimuachi mtu. Anajiangamiza mwenyewe.Leo leo anatumbuliwa. Stay tuned.
Hahahaa Meno utafikiri katafuna ma.vi ya kuku.yani huyu mzee wa meno machafu ndiyo kaingia chaka mazima.
Kwenye kura za moni hapiti na tayari kazi ya DC ameipoteza.
Anayo mishahara minne, sa sijui unaulizia upi?Hivi Dc analipwa sh ngapi?
Hizi nguvu zinazoongelewa ni nguvu za kiume ama?Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini Patribas Katambi amechukuwa form kuwania kiti cha ubunge shinyanga mjini , patrobas katambi amekuwa mtiania wa 49 shinyanga mjini huku wanaitajwa kuwa na nguvu ndani ya chama wakitajwa ni gasper kileo na Steven masele.
=======
Mkuu wa wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi leo Jumatano Julai 15,2020 amechukua Fomu kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mwaka 2015 akiwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Patrobas Katambi aligombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia CHADEMA,hata hivyo Stephen Masele (CCM) aliibuka mshindi kiti cha Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini na mwaka 2017 Katambi alijiunga CCM na baadaye kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma.
ItajeAnayo mishahara minne, sa sijui unaulizia upi?
GAK naye anagombe safari hii, hivyo wale wa mbereko safari hii watajijua wenyewe! Ila hata akisimama huyo GAK kwa Makamba anakaa!Huyo si alitoka CDM?
Kumbuka apo yule GAK ( Gaspar Kileo),Phantom na Fresho ndiyo wafanya nani awe mbunge
Ni Upuuzi Tu Huwa Hawaelewi; Kazi kama hizo ni za Kutengeneza Connection na kupata Publicity; Huku ukiandaa Miradi binafsimaDC njaa zinawaua na wanatembeza sana bakuri kuomba mafuta ya gari na hela za matengenezo ya magari. Ndio maana wengi wanajaribu kukimbilia Bungeni kwenye neema tele
Huyu mwenye sura mbaya na meno kama ya popo lazima atapigwa chiniAliyekuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini Patribas Katambi amechukuwa form kuwania kiti cha ubunge shinyanga mjini , patrobas katambi amekuwa mtiania wa 49 shinyanga mjini huku wanaitajwa kuwa na nguvu ndani ya chama wakitajwa ni gasper kileo na Steven masele.
=======
Mkuu wa wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi leo Jumatano Julai 15,2020 amechukua Fomu kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mwaka 2015 akiwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Patrobas Katambi aligombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia CHADEMA,hata hivyo Stephen Masele (CCM) aliibuka mshindi kiti cha Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini na mwaka 2017 Katambi alijiunga CCM na baadaye kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma.
GAK naye anagombe safari hii, hivyo wale wa mbereko safari hii watajijua wenyewe! Ila hata akisimama huyo GAK kwa Makamba anakaa!
[/Q
GAK sini ccm lakini?
Sasa apo unategemea nini!
Acha kujiaminishanujinga Wewe poyoyo sasa kama nchi ilijengwa na nyerere huyo nyerere yuko wapi by the way huyo boys wako asubir moto wa kura za maoni ndo atajua kuwa kununuliwa ukiwa na umri huo ni majuto kwanza mshaur akafanye sup zake pale law school maana miaka na miaka ameshindwa kuzichomoa pili yeye na ccm wenzake wasubir moto wa cdm kwa Salome makamba.Hujui watu wewe kaa kimya
Watu wapo kazini
Unadhani alikuwa CDM huyu, ndio makosa mnafanya CDM
Watu wapo kazini,endeleeni kuvamia watu,nchi hii ilijengwa na Nyerere.
Period
Shibiriti sio kibariti bana.Kuna kijana pale añaitwa Dr Emmanuel Kiberiti yupo smart sana kuliko huyu kalai,baba yake ni Daktari mstaafu( kolandoto hospital).
Hahaha! Yuu Andi twabiza baswahili shi.Shibiriti sio kibariti bana.
Mangi kileo kumbe Ana nguvu hapo shinyanga town?Huyo si alitoka CDM?
Kumbuka apo yule GAK ( Gaspar Kileo),Phantom na Fresho ndiyo wafanya nani awe mbunge
Chene angu! Ila elina litatafariwagwa wa ng'wiseHahaha! Yuu Andi twabiza baswahili shi.