Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,882
- 2,109
CCM NI KAMA KANISA LA GWAJIMA MTAJI WAKE NI WAJINGAKila aliyekuwa CDM akajiunga CCM alikuwa kazini..
Acheni kurishana upumbafu huko...
CCM NI KAMA KANISA LA GWAJIMA MTAJI WAKE NI WAJINGAKila aliyekuwa CDM akajiunga CCM alikuwa kazini..
Acheni kurishana upumbafu huko...
Nyie watu ni wehu shushushu ACT kufanyaje kama sio uongo na ujinga CCM si mmeleta maendeleo ya madaraja na JPM anakubarika uoga wa nini?Wakumbushe nyumbu hawa, leo tena kuna sherehe ya kumpokea shushu kule ACT, Kweli upinzani sikio la kufaaaa
Hana ndoa, nimtu wa wake za watu, hawezi kuongoza watu na ndoa zao.Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini Patribas Katambi amechukuwa form kuwania kiti cha ubunge shinyanga mjini , patrobas katambi amekuwa mtiania wa 49 shinyanga mjini huku wanaitajwa kuwa na nguvu ndani ya chama wakitajwa ni gasper kileo na Steven masele.
=======
Mkuu wa wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi leo Jumatano Julai 15,2020 amechukua Fomu kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mwaka 2015 akiwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Patrobas Katambi aligombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia CHADEMA,hata hivyo Stephen Masele (CCM) aliibuka mshindi kiti cha Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini na mwaka 2017 Katambi alijiunga CCM na baadaye kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma.
Kama 2015 na Nguvu ya UKAWA alibwagwa na Masele basi 2020 HATOBOI hata kwa mbeleko ya MEKO.Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini Patribas Katambi amechukuwa form kuwania kiti cha ubunge shinyanga mjini , patrobas katambi amekuwa mtiania wa 49 shinyanga mjini huku wanaitajwa kuwa na nguvu ndani ya chama wakitajwa ni gasper kileo na Steven masele.
=======
Mkuu wa wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi leo Jumatano Julai 15,2020 amechukua Fomu kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mwaka 2015 akiwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Patrobas Katambi aligombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia CHADEMA,hata hivyo Stephen Masele (CCM) aliibuka mshindi kiti cha Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini na mwaka 2017 Katambi alijiunga CCM na baadaye kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Dodoma.
Huyu domo zege kutongoza kwenyewe hawezi ndiyo awe mbunge. Atajenga vipi hoja
Kwa sura kama hii yako, walahi naweza kutafuta hata mganga anisaidie! View attachment 1507837
Wanamuogopa Membe sana hivyo alivyoenda upinzani wanazidi kupagawa wanaona mziki utakuwa kama wa 2015 mwendo mpera mpera hivyo wanaleta propaganda zao mara wapinzani hawajifunzi,mara shushushu na blah blah kibao za kuwakatisha tamaa wapinzani huku moyoni wanajua kwamba MEMBE atawaumiza kwenye uchaguzi.Nyie watu ni wehu shushushu ACT kufanyaje kama sio uongo na ujinga CCM si mmeleta maendeleo ya madaraja na JPM anakubarika uoga wa nini?
Huwenda na huko shy akabebwa tena na nguvu ya CCM labda.Bora angeendelea na UDC tu huyu hata kujenga hoja kuvutia wapiga kura hawezi kipindi yupo CDM nguvu ya chama ndiyo iliyombeba tu ila hamna kitu
Pale Shy town hawezi pita kura za maoni. Pale mtifuano ni mkubwa. Kuna majina pale na watia nia mpaka sasa wanazidi 30.yani huyu mzee wa meno machafu ndiyo kaingia chaka mazima.
Kwenye kura za moni hapiti na tayari kazi ya DC ameipoteza.
Ana meno machafuyani huyu mzee wa meno machafu ndiyo kaingia chaka mazima.
Kwenye kura za moni hapiti na tayari kazi ya DC ameipoteza.
kwishaa habari,Pale Shy town hawezi pita kura za maoni. Pale mtifuano ni mkubwa. Kuna majina pale na watia nia mpaka sasa wanazidi 30.
Wapuuzi sanaWanamuogopa Membe sana hivyo alivyoenda upinzani wanazidi kupagawa wanaona mziki utakuwa kama wa 2015 mwendo mpera mpera hivyo wanaleta propaganda zao mara wapinzani hawajifunzi,mara shushushu na blah blah kibao za kuwakatisha tamaa wapinzani huku moyoni wanajua kwamba MEMBE atawaumiza kwenye uchaguzi.
Mkuu nafasi yake hajateuliwa mbadala kwa muktadha huo yeye bado ni bosi pale Dodoma na inasemekana hata gari ya DC Dodoma ndiyo aliyoelekea nayo kule Shy.yani huyu mzee wa meno machafu ndiyo kaingia chaka mazima.
Kwenye kura za moni hapiti na tayari kazi ya DC ameipoteza.
hujamjua jiwe vizuri wewe.Mkuu nafasi yake hajateuliwa mbadala kwa muktadha huo yeye bado ni bosi pale Dodoma na inasemekana hata gari ya DC Dodoma ndiyo aliyoelekea nayo kule Shy.
Hamjui huyu. Atatumbuliwa akiwa huko huko Shy.hujamjua na jiwe vizuri wewe.
sana aisee, hawa ndio wanadhalilisha serikali tu hawa. Awape angalizo la mwaka mmoja wasipooa awatoeNasikia wote wawili ni wateja wazuri sana wa wale madada poa uhindini