TANZIA Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brig. Jen Mstaafu Emmanuel Maganga afariki Dunia

Poleni Ndugu ,Jamaa na marafiki.

Kila siku tunasema kuanzia Dec 2020 idadi ya taarifa za vifo vimeongezeka sana ,hawa ni watu maarufu ila ukitaka kujua wa mitaani angalia kwenye mitandao ya kijamii.
Hii ni kweli kwa kiasi flani, nipo group moja la wasap kuna members kama 9 wameripoti kupeteza wazazi wao ndani ya mwezi huu!
 
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig. Jen Mstaafu Emmanuel Maganga amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Milambo Mkoani Tabora usiku huu.

Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga alistaafu mwezi Julai, mwaka 2020 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alimteua Bw. Thobias Andengenye (aliyewahi kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji) kuwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma kuchukua nafasi ya Brig. Gen. (Rtd) Emmanuel Maganga.

Brigedia Jenerali Mstaafu Maganga alilitumikia jeshi la wananchi wa Tanzania kwa muda wa miaka 37, akiwa kitengi cha ugakuzi wa Ulinzi jeshini (Defense Inspection Unit). Aliagwa rasmi pamoja na maafisa wenzake wa ngazi za juu mnamo tahere 04 Machi 2016 katika gwaride maalum lilioandaliwa katika kambi ya Jenerali Abdallah Twalipo, Temeke Dar Es Salaam. Aliteuliwa mwaka huo huo kuwa mkuu wa mkoa wa Kigoma.
View attachment 1682982
#RIPMaganga
They will miss you
 

Attachments

  • twitter_20210122_102048.mp4
    1.9 MB
Huyu njagu alikuwa mkora pale alipomtaiti mama wa watu kule sokoni aliyekuwa akiuza mbogamboga kwa kumlazimisha akatafute hela popote alipie kitambulisho Cha ujasiliamali

Sipati picha yule mama siku hiyo iliishajr kwa upande wake
 
“Maganga amefariki kwenye Hospitali ya Milambo, hakulazwa, alikuwa na ujenzi kwenye site yake akaja pale leo usiku amezidiwa, ni presha na sukari ilikuwa imepanda halafu moyo ukafeli, mwili uko mochwari wakati tukiendelea na taratibu nyingine”-RC Tabora Dr. Sengati >>
 
Kama ambavyo wewe utaishi milele

Kuwepo kwa ugonjwa unaouwa si kuwa sasa ndiyo tuusabirie tu kwa kuwa hatutaishi milele.

Hata hivyo kwa vile kuna mijitu ya chama fulani na uraia wa jimbo fulani sitakutendea haki nisipokupa makavu:

Hawajambo Chatto ndugu yangu?

Kidumu chama cha Mapinduzi. Adumu sana jiwe. Apewe mitano mingine baada ya mitano hii.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Apumzike kwa Amani mzee wetu Maganga.
Mzee wa Charles glass (Castle lager) pale Kigoma park ulikua huna makuu mzee.
 
Zamani ukuu Wa mkoa ilkuwa cheo cha hatari,ilkuwa ni lazima uwajue wakuu Wa mikoa yote Tanzania.

Maana wakati mwingine unaweza kuulizwa swali kwenye mtihani,mf taja mkuu Wa mkoa Wa Mwanza?,unataja chapu.

Ila toka wameanza kuwekwa vijanavijana hawa mwendo kasi ka kina Gambo,Makonda,Hapi nk,wameharibu hicho cheo tokana na matendo yao hasa hicho cheo kuwa cha kisiasa zaidi.

Mi nilikuwa hata sijui mkuu Wa mkoa huo JIna ndo naskia Leo baada ya Ku RIP,hata ukiniuliza sa hii mkuu Wa mkoa nilioko saa jina lake sijui mpaka niingie Google.

Uko Sawa kabisa mkuu ila napo miaka ya nyuma tulikuwa tunakariri Wakuu wa mikoa kozi walikuwa wanadumu kwenye mikoa Yao leo ukizingua asbh baba anakutoa anaweka mwingine hivyo mwaka 1 unakuta wakuu wa mikoa watatu unakariri vipi ndio maana hata hayo maswali yametolewa kwenye mitihani





R.I.P kiongozi
 
CC ya Ccm waliona mbali. Maana nakumbuka huyu General alichukua fomu ya uteuzi kuomba awe mbunge mahali. Kama ange pitishwa tayari pesa yetu inge tumika vibaya tena kwenye uchaguzi wa kiini macho.. Mungu aiweke roho yake panapo mstahiki.
 
Ndo hasara ya mitoto iliyozaliwa bila mama kupata uchungu.
Mama yako kapatwa hamu ya kunya kaenda chooni ...paap unatoa miguu.

Ni ada kutobishana na mamburula yasiyokuwa na hoja. Kwa mara nyingine ni copy, ni paste na kukusomea kwa sauti ulichoandika?

Eti wewe ni mtetezi wa jiwe. Si heri vijibwa vyake?
 
Ni ada kutobishana na mamburula yasiyokuwa na hoja. Kwa mara nyingine ni copy, ni paste na kukusomea kwa sauti ulichoandika?

Eti wewe ni mtetezi wa jiwe. Si heri vijibwa vyake?
Mnacho kitafuta wewe na hao wenzio ni kuona nchi inakuwa na vurugu, kwa kuwa nyie mmekatiwa mirija yenu ya ufisadi.

Kama nchi hii ingekuwa na corona kama mnavyotamani, ile timu ya taifa wachezaji wote na viongozi wangekutwa nao.
Kwani wanatoka kwenye haya haya mazingira ambayo hakuna lock down wala uvaaji wa barakoa haupo.

Timu ilienda mpaka Tunisia na leo wako Cameroon lakini ni shwari tu.

Hivi vifo vinavyotokea sasa, hata kipindi cha nyuma vilikuwapo na vitaendelea kuwapo.

USHAURI HURU:

Wewe hujakatazwa kuvaa barakoa wala kujifungia ndani ukiona kufanya hivyo utajiponya nafsi yako.
 
Hizo takwimu wewe umezitoa wapi ziweke hapa tuone!!
Tuseme Sasa hivi watu wanakufa sababu ya corona haya na hiyo miaka mingine uliyoweka walikuwa wanakufa sababu ya Nini?

Elimu Elimu Elimu.

Hatusemi kwamba watu walikuwa hawafi ,elewa wewe!! Ukishafanya comparison hapo ndio utafanya conclusion,hivi mkuu ulisoma kweli wewe? Histogram ,statistics topic ulisoma? Kumbuka kwamba dunia ina watu takribani bilioni 7 hai na around bil 100 wameshakufa tangia dunia iumbwe kwahiyo hata corona isingekuwepo watu wanakufa na watendelea kufa ila kwenye statistics ndio utaweza ku draw conclusion.
 
Back
Top Bottom