Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 2,660
- 4,874
Nakubaliana na wanajamvi kuwa corona ipo na haijawahi kuisha ila sio kila mtu anayefariki chanzo chake ni corona maana hata huko ambako maambukizi ni mengi magonjwa mengine hayajaacha kuchukua watu wa Mungu muhimu ni kuchukua tahadhari kwa kila mmoja wetu