SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleimani Madeni anawasalimu na Kwa sasa yupo Jijini Dar es Salaam kuendelea na majukumu mengine ya kifamilia na ujenzi wa Taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahAlikua wapi kutusalim wakati akiwa kwenye mfumo? Mwambie akafie mbele huko
Waves= mawimbi tuu ya kisiasaAliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleimani Madeni anawasalimu na Kwa sasa yupo Jijini Dar es Salaam kuendelea na majukumu mengine ya kifamilia na ujenzi wa Taifa. View attachment 1491694View attachment 1491695
Haya majina ya akina madeni yana shida gani ? kuna mwingine aliitwa Madeni kipande , nadhani naye alitumbuliwa .Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleimani Madeni anawasalimu na Kwa sasa yupo Jijini Dar es Salaam kuendelea na majukumu mengine ya kifamilia na ujenzi wa Taifa. View attachment 1491694View attachment 1491695
Tuletee na maisha mapya ya Gambo.
Kalipwa fao la kujitoa na PSSSF?Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleimani Madeni anawasalimu na Kwa sasa yupo Jijini Dar es Salaam kuendelea na majukumu mengine ya kifamilia na ujenzi wa Taifa. View attachment 1491694View attachment 1491695
Daah! Mwenzie yupo sea cliff yeye yupo kijiwe cha kahawa, ila hiyo ya Gambo ni kipindi akiwa mkuu wa mkoa
Self consolation!!Waves= mawimbi tuu ya kisiasa
Wind= ni upepo tuu utapita
Views= maneno/maoni/mawazo tuu ya watu
Tumekuelewa Doctor.
....🙄🙄🙄...Tuletee na maisha mapya ya Gambo.
Exactly...With a bit of a jibe tooSelf consolation!!
Well, the guy is "jiwe"Exactly...With a bit of a jibe too
Hahah majina yanumba mkuu!!!Haya majina ya akina madeni yana shida gani ? kuna mwingine aliitwa Madeni kipande , nadhani naye alitumbuliwa .