Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,600
Haikuwahi kudhibitika kuwa hizo pesa aliiba. Otherwise angefungwa kama wenzake kina Mramba.Yanathibitika bana,unajua neno vijisenti lilitokana na nini? Alipata mgao wa Radar akaficha Rhode Islands Uingereza,ikijulikana,wakati anatoka nje ya nchi akabanwa na waandishi wa habari uwanja wa ndogo ndo akasema hivyo Ni vijisent tuu.Hapo ndo jina vijisent likampata.