Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,083
- 13,299
Me nataka uniwekee hizo V12 ambayo huyo CEO wako anatumia..unazunguka Sana mzee kujitapatapa huku wanakutombea mkeo tuMimi sio CEO wa kampuni,mimi ni mjasiliamali mdogo mdogo mwenye kipato cha laki 4 hadi laki 6 kwa mwezi,nishavuka stage ya kuchukulia gari kama kitu cha hatari ,kwasisi wenye familia gari muhimu sana kuwa nazo kwahiyo ondoa shaka kuhusu kumiliki magari.
Mimi nipo stage ya kuulizwa una nyumba ngapi na biashara ngapi na sio gari!! Nilianza kumiliki gari wakati nadhani unanyonya au unapenga makamasi na mkono!
Unaweza Uka google V12 ukapata majibu,fuata V8 series za serikali ndenda hadi V12 ndio CEO anatumia.