Hivi kwa nini nyinyi wabongo mnafurahia sana wenzenu waliwazidi nafasi kidogo wafungwe tu hata kama haijathibitika kama tuhuma zinazowahusu ni za kweli?
Mnamtia hatiani mtu kabla haijathibitika bila shaka yoyote kwamba katenda jinai, hizo roho zenu mbaya zitawafikisha wapi?
Kuna tatizo kwenye mifumo, kuna mianya inayosababisha baadhi ya watu wasio waaminifu kushiriki vitendo vya wizi, mianya hiyo haina budi kuzibwa ili fedha ya umma ibaki salama.
Mnamtia hatiani mtu kabla haijathibitika bila shaka yoyote kwamba katenda jinai, hizo roho zenu mbaya zitawafikisha wapi?
Kuna tatizo kwenye mifumo, kuna mianya inayosababisha baadhi ya watu wasio waaminifu kushiriki vitendo vya wizi, mianya hiyo haina budi kuzibwa ili fedha ya umma ibaki salama.