Diss Meddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 587
- 1,285
Ni kweli yawezakua kuna namnaHuwezi kuiba bill 3.2 peke yako hasa katika ofisi ya umma
Ni kweli yawezakua kuna namnaHuwezi kuiba bill 3.2 peke yako hasa katika ofisi ya umma
Kuna watuhumiwa wa uhujumu uchumi wako rumande wengine kwa miaka mitano sasa na hakuna kinachoendelea dhidi yao, ushaidi wa kishamba tu usio na mashiko, mbona hawajapewa dhamana?Hii ndio taarifa ya TAKUKURU iliyotolewa kwa vyombo vya habari , na kwamba hizo 2% zilizobaki zitakamilishwa na ofisi ya CAG
Hakuna Taarifa kama atafikishwa Mahakamani au la .
Tuendelee kufuatilia .
Pia soma
Lini umewahi kuambiwa 2% iko mahali fulani?!Haya mambo ndio huwa hatuyataki
Hakuna kesi hapo watayamaliza juu kwa juuHuyo Kakoko ndio keshaachiwa huru msihangaike kujipa moyo, ila wewe polisi chukua rushwa ya elfu thelathini ukamatwe ndio utajua hii nchi ina sheria.
Huyo huyo Kakoko vijana wake wako rumande gerezani Kigoma lakini yeye tunaambiwa 2% iko kwa cag!Kuna watuhumiwa wa uhujumu uchumi wako rumande wengine kwa miaka mitano sasa na hakuna kinachoendelea dhidi yao, ushaidi wa kishamba tu usio na mashiko, mbona hawajapewa dhamana?
Basil Mramba na Yona walifungwa bwashee!Hakuna kesi hapo watayamaliza juu kwa juu
Ushawahi ona au sikia mtu aliyepiga pesa za umma na mali akafungwa
Akifungwa basi huyo mfumo haumkubali
Ova
Hapo utakua unapropose tuongeze somo la Urais kwenye mitaala yetu.Karne ya 21 kwanini tuendelee kuongozwa na viongozi wanaoangukiwa na uongozi kama Unabii?
Ulitaka Rais Samia afanye nini kwenye hili? Aagize kuwa Deus Kakoko atupwe ndani kwa uhujumu uchumi?Magufuli aliupata uRais kwa Zali/hakujiandaa. Samia naye ameupata Urais kwa zali pia, hakujiandaa.
Tuendapo ni Mungu anajua.
Wewe Strock Chadema inakutesa sana angalia usiondoke kama MwendazakeHapo utakua unapropose tuongeze somo la Urais kwenye mitaala yetu.
Mawazo ya bavicha huwa hayatofautiani sana.
Kifungo cha kwenda kufagia hospitali siku mbili.Basil Mramba na Yona walifungwa bwashee!
Ninakubaliana na wewe.Magufuli aliupata uRais kwa Zali/hakujiandaa. Samia naye ameupata Urais kwa zali pia, hakujiandaa.
Tuendapo ni Mungu anajua.
Chnzo cha Kakoko kusurubiwa ilikuwa ni Bandari ya Machina wa Bagamoyo!Huyu Mzalendo aliyetufanya tukajua maovu yaliyokuwa yamefichwa kwenye mkataba wa mradi wa bandari ya Bagamoyo ndio anateswa kiaina. Aliyo yasema hayafutiki lakini, mjue hilo.
Mpaka ipelekwe mahakamani ndugu. Mahakama ndo inaamri ya kutoa ama kutotoa dhamana.bado ipo kwenye ngazi ya uchunguziJamani
Si tulishapatana kesi za uhujumu uchumi hazina dhamana?
Kiongozi yoyote ana kazi kuu kama 3 hivi;Ninakubaliana na wewe.
Lakini swali ni: Kuna kujiandaa kwa vipi kuwa rais? Kuna kozi au shule?
Sawa, tukubali, kwa watu kama Billy Clinton wa Marekani waliotamani kuwa marais wangali wadogo, lakini kweli walijiandaa?
Nani alijiandaa kwa kufanya nini na nini, kabla ya kuukwaa urais?
Mfumo haukuwakubali bwashehBasil Mramba na Yona walifungwa bwashee!
Mimi sikatai, kwa hao wawili kutokuwa tayari kwao kuwa marais; na hasa kwa huyu aliyepo sasa kwenye urais, kwa sababu hakutegemea kabisa kwamba angeshika cheo hicho.Kiongozi yoyote ana kazi kuu kama 3 hivi;
1-kurekebisha ya nyuma
2-kutengeneza ya wakati uliopo
3-kuandaa njia kwa mrithi wake.
Si Magufuli wala Samia aliyekuwa amejipanga kwa kushika uongozi.