Miliki kila aina ya silaha lakini bastola au sime ka we sio mmasai ni hatari sana. Huwezi kwenda kuwinda kwa kutumia bastola hata kama una uchu namna gani. Huwezi kutoka na sime kuchinjia kuku ukaacha kutumia kisu.
Hivyo basi, bastola ukiimiliki kuna siku mtu atakuudhi uito umtolee roho. Ukiingia ndani kuchukua sime, Utamla mbata tatu nne hivi lakini kuna siku utamuonja mwizi sikio au shingo. Ni hayo tu.
Ushauri;
Miliki gobore utakula nyama ya ngiri siku moja. Miliki panga utakatia majani ya mbuzi. Sio silaha zisizo na faida
Hivyo basi, bastola ukiimiliki kuna siku mtu atakuudhi uito umtolee roho. Ukiingia ndani kuchukua sime, Utamla mbata tatu nne hivi lakini kuna siku utamuonja mwizi sikio au shingo. Ni hayo tu.
Ushauri;
Miliki gobore utakula nyama ya ngiri siku moja. Miliki panga utakatia majani ya mbuzi. Sio silaha zisizo na faida