Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Mwambie hongera sana akajumuike na kina Chenge na Ngeleja kupepea bendera ya CCM.
Mkapa anawachungulia kwa chati!!Kwakweli leo wameondoka wengi sana. Hapa jirani Ubungo kama 65 nliowaona leo...
Hata kama cdm hawakusaini hivi unajua wakati karamaghi anasain hiyo mikataba lowasa alikuwa pembeni na alisafiri naye kwende landon na ndo alipeperusha bendera 2015. sasa lowasa sumaye ni akinanani kama sio cdmKwavile chadema ndio walisaini hiyo mikataba aondoke kabisa aende huko ccm waliokuwa wanapinga hiyo mikataba
Hahaha sindano kali. Kaona after all watuhumiwa wa ufisadi wote wapo chadema na wengine walikua mawazir wakuu wastaaf. Na ambao walikua wakisimamia shughuli za serikali zote kipindi hicho cha makinikia. Hahahah siasa hapa imeiva. Sijui chadema tutasemaje
Anahela sana huyo jamaa wewenjaa nyingi uyu
Ushahidi uliopo ni kua aliesaini ni Karamagi,Hata kama cdm hawakusaini hivi unajua wakati karamaghi anasain hiyo mikataba lowasa alikuwa pembeni na alisafiri naye kwende landon na ndo alipeperusha bendera 2015. sasa lowasa sumaye ni akinanani kama sio cdm
Kwakweli leo wameondoka wengi sana. Hapa jirani Ubungo kama 65 nliowaona leo...
Hatia ya CHADEMA Ni moja tuu.Kukubali kumsimamisha Lowassa kama mgombea wake wa Uraisi huku akifadhiliwa na kina KaramagiTaja hatia ya chadema!!
Wabunge wa chadema wametoka bungeni mara kibao kupinga wizi wa wabunge wa/na ccm yao!!!
Au hukuwepo nchini?
Chadema haijawahi kuwa na mamlaka ya kupitisha sheria yoyote.
Mipasho ya kina Lusinde ndio muipakue muile kama migebuka!!!!!
Amerudi ili achukue nafasi ya ubunge kwa ngelejaAliekua mgombea ubunge wilayani sengerema kupitia chadema hamis Tabasamu ameamua kuondoka chadema kufuatia ripot ya pili ya mchanga anadai chadema wamekosa uzalendo kwa kupinga juhudi za Rais Magufuli
Upuuzi wa watanzania na unafiki. Nimeamini kale ka msemo ka kizungu kanakosema "If you don't fight them, join them" kama huwezi kupambana nao ungana nao! Yaani amekosa busara japo nusu tuu ya kufikiria kwamba hao waliotengeneza huo uozo na kutuzalishia ma ripoti chungu nzima ndo anaenda kuungana nao! Whatz the shame to the man!Aliekua mgombea ubunge wilayani sengerema kupitia chadema hamis Tabasamu ameamua kuondoka chadema kufuatia ripot ya pili ya mchanga anadai chadema wamekosa uzalendo kwa kupinga juhudi za Rais Magufuli
Sauli aliwaua sana wakristo, lakini ndiye alikuja kuitangaza injili kwa kiwango kikubwa na cha kupigiwa mfano.Hatia ya CHADEMA Ni moja tuu.Kukubali kumsimamisha Lowassa kama mgombea wake wa Uraisi huku akifadhiliwa na kina Karamagi
Arekebishe Dishi akili yake ikawe sawa.Aliekua mgombea ubunge wilayani sengerema kupitia chadema hamis Tabasamu ameamua kuondoka chadema kufuatia ripot ya pili ya mchanga anadai chadema wamekosa uzalendo kwa kupinga juhudi za Rais Magufuli
Bwege huyo,Chadema ndio walio saini mikataba sio,huyo amekwisha sasa anatafuta huruma tu.Aliekua mgombea ubunge wilayani sengerema kupitia chadema hamis Tabasamu ameamua kuondoka chadema kufuatia ripot ya pili ya mchanga anadai chadema wamekosa uzalendo kwa kupinga juhudi za Rais Magufuli
Huna akili,hao mawaziri wakuu ndio walio saini hiyo mikatabaHahaha sindano kali. Kaona after all watuhumiwa wa ufisadi wote wapo chadema na wengine walikua mawazir wakuu wastaaf. Na ambao walikua wakisimamia shughuli za serikali zote kipindi hicho cha makinikia. Hahahah siasa hapa imeiva. Sijui chadema tutasemaje
Pigo alikuwa anafaida gani huyuDAAH NI PIGO HILI KWA CHAMA CHA CHADEMA....JE TUTARAJIE MENGINE ZAIDI??!!!
Na nyie CHADEMA Mtubu dhambi ya kumsimamisha Lowassa kama Mgombea wenu wa Uraisi wa JMTSauli aliwaua sana wakristo, lakini ndiye alikuja kuitangaza injili kwa kiwango kikubwa na cha kupigiwa mfano.
Magufuli hajatubu ni mdhambi na anatumia kafara za Dagoni kuupumbaza umma.