Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,784
- 28,804
Kuna mtu kaitia hasara ya bilioni 100 kaukumiwa miaka 4 au kulipa faini milion 8 lakini huyu mganga mfawidhi mmempiga kikatili sana
Katiba mpya ni muhimu sana
Katiba mpya ni muhimu sana
Yule wa ATCL anatakiwa kulipa Mil 8 kwa upotevu wa billions, hizi hukumu ni utata mtupukifungo cha miaka 200 jela au kulipa faini ya shilingi Mil. 52.
Hukumu hii ni baada ya kukutwa na makosa 60 ya uhujumu uchumi, likiwemo la wizi kwa mtumishi wa Umma.
Imebidi nicheke tu😁😁😁😁😁Miaka inaenda sana, atatoka tuu salama.
Ningekuwa mtumiaji wa Instagram ningeenda kuipitia, samahani unaweza kukielezea hapa alichokieleza ndugu Malisa?