Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,343
- 6,403
Mshamba huyu ishui ni kwamba mimba ya Aeshi imetoka na tutapiga mimba nyingine tu!
PIGA MIMBA.....! PIGA MIMBA.....!
Yale yale ya Lusindeee!
Mshamba huyu ishui ni kwamba mimba ya Aeshi imetoka na tutapiga mimba nyingine tu!
Absolutely![/QU mbunge huyo tunamkumbuka katika uchaguzi wa Igunga alifanya fujo na kupiga risasi hewa siku walipovami Kambi ya CDM sasa kiyama kinamwijiya akafanye kampeni tena
Sitaki kuwaudhi lakini ni ukweli usiopingika kwamb Chadema itashindwa uchaguzi 2015 na baada .ya hapo itasambaratika kutoka simba kuwa fisi. Historia itajirudia Kama ilivyotokea kwa NCCR-M mwaka 1995. Miaka ishirini ni kipindi cha kutosha kwa historia kujirudia.
Aliyekuwa mbunge wa Sumbawanga mjini Bwana Aeshy Hilaly ametangaza nia yake ya kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa leo katika mahakama ya rufaa kanda ya sumbawanga na hakimu kuamuru uchaguzi urudiwe.
Kamanda Doma
Mytake
kwa hali ya sasa CCM hawana chao sumbawanga mjini
anawaza mkopo wa mchuma ataurejeshaje?
Sitaki kuwaudhi lakini ni ukweli usiopingika kwamb Chadema itashindwa uchaguzi 2015 na baada .ya hapo itasambaratika kutoka simba kuwa fisi. Historia itajirudia Kama ilivyotokea kwa NCCR-M mwaka 1995. Miaka ishirini ni kipindi cha kutosha kwa historia kujirudia.
Aliyekuwa mbunge wa Sumbawanga mjini Bwana Aeshy Hilaly ametangaza nia yake ya kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa leo katika mahakama ya rufaa kanda ya sumbawanga na hakimu kuamuru uchaguzi urudiwe.
Kamanda Doma
Mytake
kwa hali ya sasa CCM hawana chao sumbawanga mjini
CCM they very strategically akikata rufaa kesi itabigwa danadana mpaka next year(2013) Then hukumu ikitoa atakuwa ameshindwa ila kutakuwa hakuna uchaguzi coz itakuwa imebaki miaka miwili mpk uchaguzi mwingine kwahiyo jimbo litabaki wazi. Huu ndiyo mchezo ambao wamegundua ila isaidi zaidi ya kupoteza muda.
Mytake:Kama kuna kitu ambacho CCM wanakiogopa kwa sasa basi ni by election hata iwe ya diwani coz wao ndiyo looser hata kama wanashinda kiti lakini CDM wanakuwa wameimarika hata kule ambako walikuwa dhaifu which give them Strengh.
Ni haki yake. Wacha aendelee kuteketeza visenti vyake. Vingine vitaendelea kuliwa na mchwa.