Wewe ni noma duuuh nimejiuliza jina hili gumu ni nani oooooh kumbe unamsema aliyechoka kulaliwa.Sipati picha Jaramogi Pingili Mbili na mwanae wakiiona hii Picha wataropoka nini
Ahahaha amina mkuu mjeshi risasi moja chali sudan ila lissu mungu anampenda kwakwel dahYaani kila nikimtazama lissu naamini yupo Mungu, na kifo hupangwa na Mungu, hata ukijinyonga ukafa basi hiyo ndo tiketi uliyoandaliwa
Point of order : Huo sio ugonjwa, !!!!Nyalandu anatumia ugonjwa wa Lisu kupata media attention; kama kawaida yake, misiba, wagonjwa na ajali.
Nadhani Mungu amependa abaki ili amalizie kazi yakeYaani kila nikimtazama lissu naamini yupo Mungu, na kifo hupangwa na Mungu, hata ukijinyonga ukafa basi hiyo ndo tiketi uliyoandaliwa
Exactly Mkuu.. Hakuna uongo ni kujiamini kwenda mbele.Afadhali sasa ana uhuru wa kufanya maamuzi. Hakuna tena pressure za kuitana kwenye kamati ya maadili ya ficm kwa makosa ya ovyo!
Nasikia mnadai kuwa eti mlikwisha mfukuza ?? Kuwa huko ni utumwaVibaraka wawili wakikutana hiyo combination huitwa Vibaraka Squared.
Jaramogi pingili mbili asee fasihi nzuri sana mkuuSipati picha Jaramogi Pingili Mbili na mwanae wakiiona hii Picha wataropoka nini
Kwahyo ufisadi unakuja baada kuhama ee...????Nasikia makufuli kasema ni fisadi baada ya kuhama ccm
Coco hata wewe una chuki?! Aaah huu ni urithi wa shetani kwa taifa hili!!Anawashwa washwa
Anajua kwenda huko nyie wafata mikumbo mtamfurahiaaaaa eeeeeh kawapataaaaa
Anachekelea mlivyimkubali kirahisi bila maswali yoyote kwa chama kinachojifunika shimoni..
Mliokaaa mnasuburia vyeo miaka tangu ya Slaa mnalo
Anawashwa washwa
Anajua kwenda huko nyie wafata mikumbo mtamfurahiaaaaa eeeeeh kawapataaaaa
Anachekelea mlivyimkubali kirahisi bila maswali yoyote kwa chama kinachojifunika shimoni..
Mliokaaa mnasuburia vyeo miaka tangu ya Slaa mnalo