hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Watapata tabu sanaa....
Bwana Mtegite aliyekuwa diwani wa kata ya Kibutuka na makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Liwale kupitia CUF kisha kubwaga manyanga na kujiunga na CCM amepita bila kupingwa na sasa ni diwani mteule. Mgombea wa CUF alikosea kujaza fomu ya udiwani baada ya kuandika jina la mke wake. Alikimbia umande
Bwana Mtegite aliyekuwa diwani wa kata ya Kibutuka na makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Liwale kupitia CUF kisha kubwaga manyanga na kujiunga na CCM amepita bila kupingwa na sasa ni diwani mteule. Mgombea wa CUF alikosea kujaza fomu ya udiwani baada ya kuandika jina la mke wake. Alikimbia umande