Kocha asiyeleta mafanikio ni lazima aondolewe tuWatafukza makocha wote ila tatizo ni hao akina Mwakyembe na tff yao.
safi sana
Aliona hauna wachangiaji.View attachment 1149200
Kabla ya kufuta uzi ni vema ukijiridhisha kama hizo taarifa ni za uongo ama la ! habari ile wala haikuwa uhujumu uchumi wala haikuwa matusi , tujifunze kuvumilia tusiyopenda kusikia .
Msianze kuwasingizia makocha bana, mpira ni mipango. Kama zimetushinda korosho ambazo hazishindani, utakuwa mpira ambao upande wa pili kuna watu?Kocha asiyeleta mafanikio ni lazima aondolewe tu
Charity begins at homeBREAKING NEWS : Aliyekuwa kocha mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike, amefutwa kazi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ikiwa ni siku chache zimepita baada ya timu hiyo kutolewa hatua ya makundi kwenye fainali za AFCON
View attachment 1149241
MAONI YANGU KAMA BRITANICCA
Hapa wamefanya kosa kubwa sana kumuondoa Amunike kwa maana sisi hata kushiriki kwenyewe tulitegemea best looser yaaan Lethoto atoe draw ndo tupite,
Kwa kifupi uamzi huu haukuzingatia kuwa Kocha siyo tu anayepaswa kuwajibishwa kama ingekuwa kuwajibishwa,
Tuanze na wabunge, kamati ya uhamasishaji na mwenyekiti wake Makonda, kama tungeshinda sifa zingewaendea wao, ila kwakuwa tumeshindwa eti wamlaumu Amunike?
NI MPUUZI PEKEE ALIYETEGEMEA TAIFA STARS KUPENYA KWA MIAMBA ILE WAKATI MAANDALIZI YETU YAPO MDOMONI MWA MAKONDA NA MANARA,
Britanicca
Naona uzi umerejeshwa !Kuna wakati kuna maamuzi yanachukuliwa na ukihoji unafungiwa vioo vya madirisha na milango .. Nina uzi umepigwa kufuli nimejaribu kuulizia sijajibiwa....
Hata mimi nilivyokuwa mtoto nilikuwa nadhani hivyo...(just a joke)Napinga.. nashauri watafute kocha toka brazil hata kama anafundisha daraja la 10.
Brazil kila mtu anajua soka
Afadhali uzi umerudishwa... Haki imetendekaHii ni taarifa inayosambaa kwa kasi mitandaoni kwa sasa.
Taarifa zinaonyesha kwamba kocha huyu ameiongoza Taifa Stars kwa mechi 10 na kufanikiwa kupata ushindi wa mechi mbili ikiwemo ile ya ujirani mwema dhidi ya Uganda , amepata sare mechi 2 na kufungwa mechi 6 .
More to follow .......
------6
Aliyekuwa kocha mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike, amefutwa kazi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ikiwa ni siku chache zimepita baada ya timu hiyo kutolewa hatua ya makundi kwenye fainali za AFCON
ni tabutupu kama jina lakoMwemyewe hajua kazi ya kocha
Maximo alitoka Mchambawima ama Burigi?Napinga.. nashauri watafute kocha toka brazil hata kama anafundisha daraja la 10.
Brazil kila mtu anajua soka
Kama hatuna uzoefu kwa kiwango cha kushindana kimataifa hata akija Morinyo sidhani kama atabadilisha mambo. Kwani ni kocha gani aliyeivusha hii timu kwenda kwenye hizo fainaliHii ni taarifa inayosambaa kwa kasi mitandaoni kwa sasa.
Taarifa zinaonyesha kwamba kocha huyu ameiongoza Taifa Stars kwa mechi 10 na kufanikiwa kupata ushindi wa mechi mbili ikiwemo ile ya ujirani mwema dhidi ya Uganda , amepata sare mechi 2 na kufungwa mechi 6 .
More to follow .......
------
Aliyekuwa kocha mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike, amefutwa kazi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ikiwa ni siku chache zimepita baada ya timu hiyo kutolewa hatua ya makundi kwenye fainali za AFCON