TANZIA Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Abdul Sauko Afariki Dunia

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,455
29,133
Inna Lilah, Wa Inna Ilaihir Rajiuun,

Aliyekua Katibu Mkuu wa Yanga Bwana Abdul Sauko amefariki leo Alfajir katika Hospital ya Mloganzila.

Taarifa zaidi zitafuata

=====

1649580160194.png

Abdul Sauko (kushoto) akiwa na Seif Magari (kulia).

Klabu ya Yanga imepata msiba wa kiongozi wake wa zamani Abdul Sauko ambaye amefariki dunia leo Aprili 10, 2022 alipokuwa amelazwa katika Hospitali ya Mloganzila.

Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amesema: “Msiba umetokelea leo asubuhi (Aprili 10, 2022), tutaendelea kutoa taarifa zaidi kadiri familia itakavyokuwa inatujulisha, lakini kuna uwezekano wa maziko kufanyia leo hii kama ratiba hazitabadilika.

“Abdul Sauko enzi za uhai wake aliwahi kuwa Kaimu Katibu Mkuu, Katibu Mipango, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ndani ya Yanga.

“Ni mmoja wa viongozi wenye heshima kubwa ndani ya Yanga, pia katika mchezo wetu wa leo (dhidi ya Geita Gold) tutasimama dakika moja kumuenzi na wachezaji wote watavaa vitambaa vyeusi.”

Chanzo: Azam TV
 
SAUKO.jpg

Abdul Sauko (kushoto) akiwa na Seif Magari (kulia).
Klabu ya Yanga imepata msiba wa kiongozi wake wa zamani Abdul Sauko ambaye amefariki dunia leo Aprili 10, 2022 alipokuwa amelazwa katika Hospitali ya Mloganzila.

Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amesema: “Msiba umetokelea leo asubuhi (Aprili 10, 2022), tutaendelea kutoa taarifa zaidi kadiri familia itakavyokuwa inatujulisha, lakini kuna uwezekano wa maziko kufanyia leo hii kama ratiba hazitabadilika.

“Abdul Sauko enzi za uhai wake aliwahi kuwa Kaimu Katibu Mkuu, Katibu Mipango, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ndani ya Yanga.

“Ni mmoja wa viongozi wenye heshima kubwa ndani ya Yanga, pia katika mchezo wetu wa leo (dhidi ya Geita Gold) tutasimama dakika moja kumuenzi na wachezaji wote watavaa vitambaa vyeusi.”

Chanzo: Azam TV
 
Amefariki huku akishuhudia Yanga inaongoza ligi, timu pekee duniani ambayo haijapoteza mchezo na inagawa vichapo vyakutosha

RIP
ndugu yangu huu uzi ni kwa ajili ya msiba ukianza kuingiza mbwembwe humu tutapoteza uzito wa jambo maana tutaanza kuingiza mambo mengine yasyokuwa na tija (mfano mi ntakwambia marehem kafariki kwa sababu timu yake ya uto..........&#::,,, &,,!,,??............ buushit!!) acha tumalize msiba ndo porojo ziendelee..
R. P. kiongozi wa mpira
 
ndugu yangu huu uzi ni kwa ajili ya msiba ukianza kuingiza mbwembwe humu tutapoteza uzito wa jambo maana tutaanza kuingiza mambo mengine yasyokuwa na tija (mfano mi ntakwambia marehem kafariki kwa sababu timu yake ya uto..........&#::,,, &,,!,,??............ buushit!!) acha tumalize msiba ndo porojo ziendelee..
R. P. kiongozi wa mpira
Umemjibu vema
 
Amefariki huku akishuhudia Yanga inaongoza ligi, timu pekee duniani ambayo haijapoteza mchezo na inagawa vichapo vyakutosha

RIP
Ilitosha kumpa pumziko la Amani kuliko kuleta tambo ambazo ni dhahiri zinakuonyesha hutumii akili kutafakari.

Yaani Ujivuni naTambo mpaka kwenye msiba...!
 
Back
Top Bottom