ozunuh
Senior Member
- Oct 18, 2012
- 100
- 8
Hana akili huyao diwani kabisa, alikuwa wapi siku zote kusema hayo????
hata na mm nashangaa ni mchongo wa kuiharibu cdm tu,hakuna lolote!
Hana akili huyao diwani kabisa, alikuwa wapi siku zote kusema hayo????
Mkuu unataka hoja gani tena zaidi ya hii mama katoa angalizo kwa kina mama wenzake wawe makini na viongozi wa Chadema kwa tabia chafu.
na sisi hatuwezi kuipangia CCM siku ya kuokota mizoga ya chadema. CCM inafurahia kuokota mzoga wa chadema kweli ccm imekwisha.
nngu007 "zuzu ni mtu aliyefilisika kufikiri,
nilikuwa mkutanoni, hakuna maneno kama haya yaliyotamkwa,
namnukuu Rehema "NIMEIPIGANIA CHADEMA KWA PESA ZANGU HADI KAZI NIKAFUKUZWA, LAKINI MATOKEO YAKE NIMEAMBULIA KWENDA JELA"
my take.
CHADEMA HATUTAKI MZAHA NA UTU WA WATANZANIA, UKIPEWA DHAMANA HESHIMU NA SIYO KUFANYA MASIHARA.
sema wewe bj!, hivi hata mimi si kijana kwa huyu bibi??? Kwanza anamdhalilisha lema bila sababu!yaani lema amekosa wasichana wadogo hadi atembee na huyu kikongwe???