Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Diwani machachali anayejulikana kwa jina la Chief, aliyepata umaarufu baada ya kuwashtaki madiwani wenzake 6 na kusababisha wafukuzwe udiwani, ameamua kujiunga na CHADEMA baada ya jina lake kukatwa japokuwa alishinda.
Ikumbukwe kuwa wakati wa mgogoro kati ya Kagasheki na Meya Amani, Chief alikuwa upande wa Amani, hivyo yeye anaamini kuwa kahujumiwa na Kagasheki ili jina lake likatwe japokuwa ameshinda.
Diwani huyo anasema anakubalika sana na anaamini atashinda kiti hicho kwa kugombea kupitia CHADEMA. Kwa sasa yupo anaelekezwa chama kinafanyaje kazi ili hatimaye sherehe za kumpokea ziweze kufanyika kesho.
Pia amesema kauli ya wale wanaochujwa kuitwa Makapi hajaipenda.
Ikumbukwe kuwa wakati wa mgogoro kati ya Kagasheki na Meya Amani, Chief alikuwa upande wa Amani, hivyo yeye anaamini kuwa kahujumiwa na Kagasheki ili jina lake likatwe japokuwa ameshinda.
Diwani huyo anasema anakubalika sana na anaamini atashinda kiti hicho kwa kugombea kupitia CHADEMA. Kwa sasa yupo anaelekezwa chama kinafanyaje kazi ili hatimaye sherehe za kumpokea ziweze kufanyika kesho.
Pia amesema kauli ya wale wanaochujwa kuitwa Makapi hajaipenda.