Mkuu king kong kwa hiyo atakuwa anapakuliwa kama kawa?
Jinsia ya kike kuwekewa imeshindikanika... Kwa hiyo itakua anapakuliwa kisamvu cha kopo tu
Aisee huo ni mtihani sana kwa sisi wa afrika kuwa na mzazi kama huyo.
huo upaja vipi?Mikono ilivyo komaa sasa....
Mi nitalia usiku mzima nikute baba angu yuko hivyooo.... Nitadata aiseeee
Mi nitalia usiku mzima nikute baba angu yuko hivyooo.... Nitadata aiseeee