Kizimbuzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 1,569
- 739
una uhakika?
msemaji wa jw kasema hivyo
una uhakika?
Tena ukizingatia mtu mwenyewe CDF-Chief of Defence Force!. Tatizo taasisi zetu nyingi wasemaji wake hawakupelekwa Shule ya namna ya kufikisha ujumbe kwa Umma panapojitokeza ukakasi .
Na kumpeleka kijana huyu mbele ya Mahakama wakati kama huu nako ni kosa la kiufundi!.
Unless wanajambo jingine nyuma ya pazi.
Kilichoniacha hoi ni taarifa eti DPP amepeleka mahakamani zuio la dhamana!
Kama vile kaua!
Mkuu tenga mda kidogo upitie hiyo sheria ya makosa ya mitandoa.
Hakuna kifungu chochote kinachotutaka tusubilie wasemaji wa mamlaka husika tu ndo wawe watoa taarifa.argument yako haina mashiko.
Kumbuka katiba ndo sheria mama na katiba inatoa right ya kila mtu kuwa informed..how.?tunaweza tugalizungumza na hilo.
BREAKING NEWS KUTOKA MAHAKAMANI LEO :
Kijana aliyetuhumiwa kwa kosa la kutoa taarifa ya kifo cha mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama aishangaza Mahakama,
Aijibu mahakama kuwa atakubali kuwa amemzushia kifo mkuu huyo wa majeshi kama MWAMUNYANGE au mkuu huyo atajitokeza hadharani na kutoa tamko la uzima wake na vinginevyo atabaki na msimamo wake uleule. Mwanasheria wa CHADEMA Mh JAMES MALLYA ndiye anayeisimamia kesi hiyo.
Je, wadau huyu dogo ana siri gani nyuma ya habari ya tuhuma za MWAMUNYANGE?
Source: Wozap
sawa ticha makoroboi
unamanisha mkuu mwamu ni mngoni??? kunauwezekano akawa ndugu yake au nimekuelewa sivyo???
umekerwa kama mimi mkuu. sipendi kabisa
Kwahiyo umeamini kuwa wewe ndo mgonjwa?
Hapana sijamaanisha hilo nilitaka kujua tu kama uyo dogo ni mngoni maana akina ngonyani ni majina ya wangoni uko. Mengineyo endelea kusikilizia movie inavyoelekea maana tumezoea sterling wa movie mwishoni mwishoni mwa movie lazima akamatwe ateswe sana alafu anakuja kutoka na nguvu ya ajabu na kuua maadui wote. Endelea kusubiria kidogo tu
Kijana Benedikiti Ngonyani amekamatwa na polisi kwa kusambaza ujumbe katika mitandao ya kijamii kuwa mkuu wa majeshi amelishwa chakula chenye sumu.
==============================
Chanzo: Nipashe
ndiyo mwalimu. karibu Chipsi yaipembeni kunguni wa ulaya wewe