DavidSky
Member
- Oct 21, 2017
- 51
- 45
Apone kwanza huyo Lisu wako.
Sawa. Mwambie anyanyue mkono wa kushoto kama anaweza.
Aibu yako wewe mgonjwa mtumbuko ucyepona
haa haa binadam bana leo lissu anasheki mkono na fisadi na tabasam .hakika hujafa hujaumbikaAliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Mhe. Edward Lowassa akiongozana na Mke wake Mama Regina Lowassa, leo walifika Hospitali ya Nairobi kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Antiphas Lissu ambaye anapatiwa matibabu nchini humo.
Hutapona ugonjwa mtumbuko wako lkn lissu amepona.. na anakuja kumalizana na ujinga wenyuSawa. Mwambie anyanyue mkono wa kushoto kama anaweza.
kwani mbowe anapo msalimia sizonje inakuwaje?haa haa binadam bana leo lissu anasheki mkono na fisadi na tabasam .hakika hujafa hujaumbika