the whole thread is in your power with different capacities ha ha I like it CCM wamekosa wapambe jamani jamaa liko linapiga chabo tuKila alemsakama Lowassa lazima atapatwa na majanga-BAVICHA
the whole thread is in your power with different capacities ha ha I like it CCM wamekosa wapambe jamani jamaa liko linapiga chabo tuKila alemsakama Lowassa lazima atapatwa na majanga-BAVICHA
Jamaa limerudi kama mwanzo walah! Nitaenda tena nitamwambia kuwa sasa Dikteta anapambana na Zitto!
Unajua maana ya kukunja mkono hiyo ni ishara ya kudai hakiLissu kaamua kuikacha chadema? Picha zake za hospitalini sijaona akitumia ishara ya chadema ya kutanua vidole.
Nadhani pia haikuwa sahihi lowasa kwenda kumwona lisu ,anaweza weweseka Sana usiku hawaivi Na lowasa ndio maana hata siku lowasa alipokelewa kuteuliwa mgombea tundu alisusa hakwenda pale ukumbini mlimani City.Mnoo kwa yale matusi ya Lissu hata ningekuwa mimi nisingeweza
Huyu babu pamoja na kwamba simkubali kabisa ktk siasa zake lkn ana roho nzuri sana, anajua kusamehe mnoo yaani pamoja na matusi ya Lissu kwake kipindi kile lkn bado ameona kumtembelea ni jukum lake, Lissu sijui huwa anajisikiaje
Sijapaniki kawaida tu kamanda we ndy ulipanik
Ila its all good Bro,uwe na amani
Ova
Nafuu ambaye ananuka vidonda kwa sababu ya maumivu ya kusababishiwa na watu washenzi kama wewe, kuliko wewe unayenuka Tigo yako inayovuja MAVI kwa sababu tu ya kutaka mambo ya bure na kuendekeza ujinga wa kike.Eti km mwanzo!Huko mwanzo alikuwa na mavidonda yakinuka!
Tundu hajamjua mbaya wake?Aliyekua Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Mhe. Edward Lowassa akiongozana na Mke wake Mama Regina Lowassa na Mhe. Onesmo Ole Nangole leo walifika Hospitali ya Nairobi kumjulia hali Mhe. Tundu Antipas Lissu
View attachment 615214
View attachment 615215
How old are you? au ni kiburi cha uzima?Eti km mwanzo!Huko mwanzo alikuwa na mavidonda yakinuka!
Lowasa kaenda Kenya kuonana Na Kenyatta kuhusiana Na uchaguzi wa tarehe 26 Oct hapo kapita kuwazuga wakenya waone kama kaenda kumwona Lisu.Anyway Lowasa aache kuingilia Mambo Ya siasa Za Kenya hasa kipindi hiki.Safi sana,lakini kuna mijitu haipendi.
Albadiri hazitoshi?we dada unatakiwa kuugama hujui uandikalo.wewe unapaswa kulaaniwa na watanzania wote
watu walioingia nchini kutokea nchi jiraniTundu hajamjua mbaya wake?