Jamani hivi sisi akili zetu zikoje? Mtu anayeoneka haramu tumeshuhudia akimnadi mrith wake ndani ya chama chenye siasa uchwara kwa mujib wake! Hii imekaaje? Na hiyo maana yake ni nini!???
Najaribu kufanya majumuisho ya hizi sarakasi bado naona karata yangu inanionesha mchezo mchafu! Hivi haramu anazaa halali!richmond haramu ila dowans halali?? Ndo siasa za tanzania si ndio!hivi wanaigunga wanaambiwa kwa nini mbunge wao alikataliwa na sasa wanamtumia kumpata mrith wake?? Miaka 17 ya ubunge bado watu wana matatizo ya msingi kwa maisha ya watu??hivi unatumia nini au masaburi!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.