Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,945
- 93,884
Wajameni habari zenu.
Nimesikia habari za kufariki kwa yule ndugu aliyepigwa risasi na polisi kule Tegeta wakati wa operesheni ya Polisi kuondoa magari yanayoegeshwa pembezoni mwa barabara, je kuna ukweli wowote?
Nimesikia habari za kufariki kwa yule ndugu aliyepigwa risasi na polisi kule Tegeta wakati wa operesheni ya Polisi kuondoa magari yanayoegeshwa pembezoni mwa barabara, je kuna ukweli wowote?
Aliejeruhiwa ktk vurugu zilizotokea kule Tegeta amefariki dunia.Polisi walikuwa wakiyaondosha malori yaliyokuwa yameegeshwa pembezoni mwa barabara kinyume na sheria.Polisi walifyatua risasi iliyompata raia mmoja aliekuwa akijinunulia godoro katika maduka yaliokuwa karibu na eneo la tukio.
Habari zaidi ni katika gazeti la Majira.