Kuna ubaya gani mtu akiuliza swali ajibiwe?kwani Jf mmeambiwa ni ya kutoa taarifa tu na sio kuuliza pia?
OOOOOO kama nikweli Mungu ampumzishe mahali pema kwenye Amani ya milele ..kwani vitu vyenye Ncha kali Vitatumaliza hapa kwa Dunia
Kuna ubaya gani mtu akiuliza swali ajibiwe?kwani Jf mmeambiwa ni ya kutoa taarifa tu na sio kuuliza pia?
Hata kama hajafa, tunataka Said Mwema ajiuzulu.Wajameni habari zenu.
Nimesikia habari za kufariki kwa yule ndugu aliyepigwa risasi na polisi kule Tegeta wakati wa operesheni ya Polisi kuondoa magari yanayoegeshwa pembezoni mwa barabara, je kuna ukweli wowote?
Hili ndo tatizo la kuajiri Askari wengi bila kuwa na mpango mzuri wa mafunzo haiwezekani Kuruta akae miezi mitatu chuoni alafu aje uraiani uniambie kashahitimu!,hakuna mtu anaye jifunza silaha miezi mitatu.lazima utakuwa muuaji tu,Angalia asilimia kubwa ya Askari wanaoua ni hawa ambao wametoka depo miaka ya karibuni
mkuu nawe huna taarifa duh umetukatya steam make tulitaka kujua kumbe nawe unauliza swali lilelile. sawa mkuu