Aliyeishuhudia ajali iliyoua dereva bodaboda Goba saa 1 usiku (8-6-2021), tufahamishe ilivyokuwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,863
Kwa jinsi Dereva ' Bodaboda ' alivyokuwa kaumia vibaya Kichwani na Kuburuzwa nilishindwa Kujizuia na Kusikitika sana tu na kujikuta nakimbia (natoka Baru) eneo la Tukio kwa Kiwewe na kwenda 'Kuisikilizia' Ajali kwa mbali.

Najua (Huenda) Tukio lile lilishuhudiwa na mwana JamiiForums mwingine hivyo naomba asimulie hali nzima ilivyokuwa. Ni Ajali iliyotokea Goba Saa 1 Usiku wa leo Jumanne.

Jamani Wadogo zetu na Kaka zetu mnaoendesha hizi ' Bodaboda 'hasa' Kibiashara ' jioneeni Huruma jinsi mnavyokufa na kulemazwa hovyo kwa Ajali za Barabarani kwa Kuendesha kwa Nidhamu, kuwa Makini na kufuata sana Sheria. Taifa linawahitaji mno tu.
 
kuna dogo pia hapa mtaani leo nimeletewa daftari la michango,maskini ni mdogo sana hata 25 hajafika.amekutana na fuso ikapita nae!yaani nimesikitika kwa maelezo ya wenzie ni kwamba fuso ilimpanda kabisa miguuni hivyo mguu mmoja kuanzia kwenye paja umekatwa!!😣huo mwingine una afadhali
 
Back
Top Bottom