Labda nje ya hifadhi ila kama ndani ya hifadhi mchizi hachomokiPengine tembo aliingia barabarani ghafla na dereva hana makosa. Wafanye uchunguza taratibu bila kuongozwa na mihemko.
Labda nje ya hifadhi ila kama ndani ya hifadhi mchizi hachomokiPengine tembo aliingia barabarani ghafla na dereva hana makosa. Wafanye uchunguza taratibu bila kuongozwa na mihemko.
Jamaa ameshatoa ufafanuzi hapo juu. Hiyo gari ili haribirika sana.Hili swali nimejiuliza sijapata majibu
OkJamaa ameshatoa ufafanuzi hapo juu. Hiyo gari ili haribirika sana.
Dereva alikimbia
Atakuwa alimpiga vizuri na sehemu nyeti.
Ndiyo. lakini hata kwenye hifadhi unaweza kuwa makini na ajali bado ikatokea. Mnyama ni mnyama.Labda nje ya hifadhi ila kama ndani ya hifadhi mchizi hachomoki
Ah ah hatari sanaKama kafa atakuwa kapata bahati, Bima watalipa
Kama kaumia atapata tabu sana lazima alipe.
Katika udereva wako lazima ujue vitu vinne ambavyo havijawahi kugonga mtu/gari nyingine
1. Msafara wa kiongozi
2. Ambulance
3. Wanyama wakiwa mbugani
4. Treni
Hao wote ni wewe unawagonga, sio wao wanakugonga
Kwa pale mbugani lazima alipe na gharama ya kusafisha, kwa hiyo inaweza kutoka hata milioni 40
We unasema Mnyama ni mnyama??Ndiyo. lakini hata kwenye hifadhi unaweza kuwa makini na ajali bado ikatokea. Mnyama ni mnyama.
Anakuwa amesema nini?Lakini mtu aki-like post ya kigogo anatafutwa.
Ningejua pa kutokomea kama dereva wa hilo gariUngekimbila kwenye kundi la tembo ilo linalopita hili wakulinde serikali isikukamate
Na asaidiwe na nani kwenye hifadhi ?Jiulize alikimbia vipi wakati gari ipo hali hiyo, huyo alisaidiwa kukimbia
Kwa hyo kugonga twiga napo ni 15000 USDWe unasema Mnyama ni mnyama??
Ndani ya hifadhi hata ukipata ajali tu sio ya kugonga tuseme upinduke au gari imechochora lazima ulipie majani yote uliyokanyaga au miti uliyovunja laki 2. Yaaani pona pona yako gari ianguke ibaki katikati ya barabara labda watakuhurumia
Ndo sheria zetu hizo. Hifadhi zinalindwa sana sema madereva wengi hawajui hilo
View attachment 1724594
Labda kasaidiwa na wapita njia kama yeye, magari yanakatiza mengi hapoNa asaidiwe na nani kwenye hifadhi ?
Hili laweza kuwa tukio la kupangwa
Sidhani hata kama alilipishwa...Kigwangala alitafutwa baada ya kugonga Twiga?
Huu ndo Uzwazwa wa Nchi hii....Tembo akimuua binadamu tunamuachia Mungu, ila binadamu akimuua tembo ni shida nyingine.
Nchi hii iacheNamba ya gari inatosha kukamilisha zoezi