Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,197
- 3,930
Kigogo 2014, kawachanganya Polisi...Mmiliki wa gari hajafahamika kivipi na plate namba zipo hapo kwenye gari? Ina maa usajili wa hilo gari haujatolewa na TRA?
Kigogo 2014, kawachanganya Polisi...Mmiliki wa gari hajafahamika kivipi na plate namba zipo hapo kwenye gari? Ina maa usajili wa hilo gari haujatolewa na TRA?
Sasa hiyo mil 35 nimeshajua kuwa inaenda kwa ndugu zake temboAkijeruhi wanalipa lak 5 kwa familia
Akija wanawalipa Million 1 kifuta machozi
Yeye akiuliwa unalipa mil 34.5
Hahahaaa
Be specific simba ya mwamedi ama?Ila akiliwa na simba fresh sio
Zoezi huenda tukasikia uchunguzi unaendeleaNchi hii iache
Dereva kapona.Mmh hiyo gari ilivobondeka huyo dereva kapona kweli? . R.I.P tembo
Jamaa yuko poa.lakini jamaa naye sidhani kama ana hali nzuri aliko.
maama kwa namna gari lilivyo....mhhhhhj.
kesi closed, uzi uishie hapaUtakuta aliliwa na simba baada ya ajali
Taarifa nilizopata ni vijana walichukua gari ya mzee wao kutoka Bunda kwenda kula Bata ndiyo yakawakuta hivyo ila sina uhakikaBongo nyoso sana. Mafinger print yote mliotuandikisha, mavitambulisho lukuki, Tin Number tra zipo, usajili wa gari hauwezi kukurudia kumpelekea ujue mmiliki wa gari kisha uanzie hapo uchunguzi?
After all mbona hampo concerned kuhusu hali ya huyo dereva/mmiliki kwa hio condition ya gari iliopo? Kama yu mahtuti ama kafariki mtafanyaje?