Hivi karibuni kuna mtu anaijiita Tony Anton alifuta ngoma ya Cheche na akaifanya isipatikane YouTube kwa siku mbili, baada ya huo mkasa kutokea uongozi wa WCB kwenye department ya digital platform ikiongozwa na kimkayndo wakalishughulikia hilo jambo na kugundua kuwa aliyofanya hivyo jina halisi ni James na si Tony kama anavyojiita kwenye mitandao ya kijamii na huyo kijana anapatikana Kenya kwenye sehemu inaitwa kiisie.
Na hii imekuja kujilikana ni baada ya WCB kushirikiana na Mamlaka ya Kenya. Na kabla huyo James ajajulikana alimtumia ujumbe Kimkayndo ambaye anahusika na digital platform za Wasafi kama wanataka ngoma wafanye biashara kwanza.
Ajajulikana huyo James kafanya vile kwa sababu zipi?Baada ya mahojiano yake na polisi wa Kenya yote yatajulikana
Na hii imekuja kujilikana ni baada ya WCB kushirikiana na Mamlaka ya Kenya. Na kabla huyo James ajajulikana alimtumia ujumbe Kimkayndo ambaye anahusika na digital platform za Wasafi kama wanataka ngoma wafanye biashara kwanza.
Ajajulikana huyo James kafanya vile kwa sababu zipi?Baada ya mahojiano yake na polisi wa Kenya yote yatajulikana