Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Nawaza tuu huyu jamaa angepata urais akiwa na umri wa Makonda tungepata shida sana kumtoa , Sababu inayo nifanya niwaze hivi ni tabia yake ya kuto heshimu katiba na kuamini hurka zake ziongoze nchi.
Pia kuto kua na nia ya kujenga Tanzania yenye msingi bora badala yake anajenga Tanzania yenye kumnufaisha yeye na watu wachache wanaomzunguka walio tayari kulinda maslahi yake kama kina Makonda.
Pia kitendo chake cha kutumia matatizo ya wananchi kujinufaisha kisiasa kwa kuwahadaa kwa kunyanyasa kundi moja ili apendwe na kundi maskini zaidi wakati hakuna alicho wasaidia.
Mbaya zaidi anasema yeye ni Rais kama kweli sisi ndio tulio mchagua hana haja ya kujitambulisha. Yamkini haamini katika demokrasia kwa kitendo chake cha kubariki maovu ya kunyang'anya ushindi wa chama cha CUF kule Zanzibar na kumpongeza Jecha ( Jecha dhambi yako haitafutwa hadi uitubu)
Hata hivyo umri wake umeenda hilo nalo ni jambo LA kumshukuru Mungu.
Wana ccm mtuunge mkono kulaani vitendo vibaya vinavyo dhalilisha utu wa Watanzania kwa kisingizio cha maendeleo vinavyo fanywa na serikali hii katili. Hakuna aliye juu ya katiba, katiba ndio mwongozo wa Watanzania wote. bila kujali umezaliwa wapi.
Mungu wabariki wote walio iandika katiba ya tZ hasa aliye fikiria umri na ukomo wa vipindi viwili.
Pia kuto kua na nia ya kujenga Tanzania yenye msingi bora badala yake anajenga Tanzania yenye kumnufaisha yeye na watu wachache wanaomzunguka walio tayari kulinda maslahi yake kama kina Makonda.
Pia kitendo chake cha kutumia matatizo ya wananchi kujinufaisha kisiasa kwa kuwahadaa kwa kunyanyasa kundi moja ili apendwe na kundi maskini zaidi wakati hakuna alicho wasaidia.
Mbaya zaidi anasema yeye ni Rais kama kweli sisi ndio tulio mchagua hana haja ya kujitambulisha. Yamkini haamini katika demokrasia kwa kitendo chake cha kubariki maovu ya kunyang'anya ushindi wa chama cha CUF kule Zanzibar na kumpongeza Jecha ( Jecha dhambi yako haitafutwa hadi uitubu)
Hata hivyo umri wake umeenda hilo nalo ni jambo LA kumshukuru Mungu.
Wana ccm mtuunge mkono kulaani vitendo vibaya vinavyo dhalilisha utu wa Watanzania kwa kisingizio cha maendeleo vinavyo fanywa na serikali hii katili. Hakuna aliye juu ya katiba, katiba ndio mwongozo wa Watanzania wote. bila kujali umezaliwa wapi.
Mungu wabariki wote walio iandika katiba ya tZ hasa aliye fikiria umri na ukomo wa vipindi viwili.