Jamani naomba msaada nini nifanye, nimemwona aliyeniibia simu yangu kwenye kamera live. Sasa ofisi inaendelea kufuatilia information kupitia huyo dada aliyekuja naye.
Je, sasa hatua gani nichukue kwa kuwa tayari tumepata namba ya simu ya huyo aliyekuja naye. Tukio zima limeonekana kwenye kamera tangu wanaingia reception mpaka wakati huyo jamaa anaichukua na kuitia mfukoni baada ya kuizima.
Je, sasa hatua gani nichukue kwa kuwa tayari tumepata namba ya simu ya huyo aliyekuja naye. Tukio zima limeonekana kwenye kamera tangu wanaingia reception mpaka wakati huyo jamaa anaichukua na kuitia mfukoni baada ya kuizima.