Aliyechora Ramani ya Dunia yeye alikuwa amekaa wapi?

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,791
Wakuu poleni na mihangaiko kutafuta riziki, mimi mwenzenu wa stendi huwa sometime najiuliza maswali ya kizushi mimi kama mimi ila nimeamua niwashirikishe, swali lenyewe ni hili, hivi yule aliyechora ramani ya dunia yeye alikuwa amekaa wapi.

Namaanisha alikuwa ndani ya ule mhimili au alikuwa nje ya ramani na kama alikuwa nje ya ramani swali hapo sasa alikuwa dunia gani sasa?

Nawasilisha...
 
Wakuu poleni na mihangaiko kutafuta rizki!!!mi mwenzenu wa stendi huwa same time najiuliza maswali ya kizushi mimi kama mimi ila nimeamua niwashirikishe!!swali lengewe ni hili!!!hv yule aliechora ramani ya dunia yeye alijuwa amekaa wapi!!! Namaanisha alikuwa ndani ya ule muhimili au alikuwa nje ya ramani!!na kama alikuwa nje ya ramani swali hapo sasa alikuwa dunia gami sasa!!! Nawasilisha!!!
swali lako nimelishindwa nikupe mji mkui; nenda shinyanga!
kama huko ndio kwenu nenda kasulu.
 
Wakuu poleni na mihangaiko kutafuta rizki!!!mi mwenzenu wa stendi huwa same time najiuliza maswali ya kizushi mimi kama mimi ila nimeamua niwashirikishe!!swali lengewe ni hili!!!hv yule aliechora ramani ya dunia yeye alijuwa amekaa wapi!!!

Namaanisha alikuwa ndani ya ule muhimili au alikuwa nje ya ramani!!na kama alikuwa nje ya ramani swali hapo sasa alikuwa dunia gami sasa!!!

Nawasilisha!!!
Mwanzo mzuri. Umeanza hatua ya kujitegemea. Ila usiishie hapa. Endelea na utafiti wako mpaka uujue ukweli. Yaani ujue raman ya dunia halisi ni ipi. Napenda watu wa design yako. Kikubwa ni wewe kuanza kuchukua hatua za kuujua ukweli. Sawa na suala la mungu
 
Mwanzo mzuri. Umeanza hatua ya kujitegemea. Ila usiishie hapa. Endelea na utafiti wako mpaka uujue ukweli. Yaani ujue raman ya dunia halisi ni ipi. Napenda watu wa design yako. Kikubwa ni wewe kuanza kuchukua hatua za kuujua ukweli. Sawa na suala la mungu
Nilitaka kushangaa usimtaje mungu.
 
Hili swala hata sielewi lilikuwaje kwa mana!., wazungu wanatumia dunia vizuri kweli kila angles wapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom