silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Yule kijana wa Kitanzania kutoka Zanzibar ambaye alichana Muswada wa katiba apongezwe.
Kitendo hicho ni cha kijasiri na kinacho tafutwa sana na watanzania wapenda maendeleo kama Mimi..
Hivi hawa fisi wanatuona sisi hatuna akili,, mimi ninauchungusana na nchi yangu lakini kwa mambo ya msingi naona tuwe wakali kidogo
Swala la Katiba si la mchezo hata kidogo.
Kitendo hicho ni cha kijasiri na kinacho tafutwa sana na watanzania wapenda maendeleo kama Mimi..
Hivi hawa fisi wanatuona sisi hatuna akili,, mimi ninauchungusana na nchi yangu lakini kwa mambo ya msingi naona tuwe wakali kidogo
Swala la Katiba si la mchezo hata kidogo.