king henry
Member
- Sep 2, 2018
- 10
- 7
Jaman naomba ushauri wenu...
Nilikuwa na girl friend hapokei kwanza but tulikwaruzana Sana kufika kipindi akaamua kuondoka na kunitamkia mengi makali. Nilimpenda sana ila aliamua kwenda..
Niliingia mikononi mwa mtu mwingine alinionesha mapenzi ya dhati but nafsi yangu haikuridhika nae ila ndo aliyebeba mimba yangu na kaamua kuja na mabegi home kwangu na yule wa Zamani nae kaja anaomba msamahaa na bado nampenda na huyu ana kiumbe changu
Nilikuwa na girl friend hapokei kwanza but tulikwaruzana Sana kufika kipindi akaamua kuondoka na kunitamkia mengi makali. Nilimpenda sana ila aliamua kwenda..
Niliingia mikononi mwa mtu mwingine alinionesha mapenzi ya dhati but nafsi yangu haikuridhika nae ila ndo aliyebeba mimba yangu na kaamua kuja na mabegi home kwangu na yule wa Zamani nae kaja anaomba msamahaa na bado nampenda na huyu ana kiumbe changu