zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Tanzania au kabla ya hapo, Tanganyika. Ni nani katika historia ya Tanganyika ataweza kusema kulikuwepo na kitu ambacho hii leo tunakiita udini? mimi nasema ilikuwa hakuna!
Pwani ya Tanganyika mpaka bara ya Tanganyika, hadi Rawana Urundi, Uganda na hii Kongo, waIslam ndio walikuwa watawala.
Leo hii, atokee mtu mmoja tuu, hapa JF aseme kuwa: wa Islam waliotawala na kuueneza uIslam mpaka huko nilipopataja, waliueneza kwa upanga! au waliueneza kwa lazima!
Napenda mfahamu kuwa, ingekuwa uIslam si dini ya haki, leo hii, hapa Tanzania pangekuwa hapakaliki. Naomba tushukuru sana kuwa nchi hii, na kabla ya kuwa nchi, watawala wa wa huku walikuwa wa Islam.
Leo, tunaweza kusema kuwa Tanzania ni kisiwa cha amani! Jee, Nyerere alikikuta hiki kuwa ni kisiwa cha machafuko na hakina amani? No! hapana, aliikuta amani, na alikuta watu wa hapa ni wastaarabu na ndio waliomfundisha hata namna ya kuvaa. Jee, unajuwa kuwa nyerere alifundishwa kuvaa suruali na muIslam? na suruali ya kwanza kuvaa nyerere aliazimwa na muIslam? kama hujui sema tukueleze, na jina tutamtaja, huyoo aliemuzima na kumfundisha kuvaa suruali Nyerere.
Leo, mnakuja oooh udini, CCM ya waIslam, sijui nini na nini na ninihii.
Ndio, CCM ya wa Islam, Na Chadema si ya WaIslam na waIslam ndio watawala. Sasa mnataka iweje?
Pwani ya Tanganyika mpaka bara ya Tanganyika, hadi Rawana Urundi, Uganda na hii Kongo, waIslam ndio walikuwa watawala.
Leo hii, atokee mtu mmoja tuu, hapa JF aseme kuwa: wa Islam waliotawala na kuueneza uIslam mpaka huko nilipopataja, waliueneza kwa upanga! au waliueneza kwa lazima!
Napenda mfahamu kuwa, ingekuwa uIslam si dini ya haki, leo hii, hapa Tanzania pangekuwa hapakaliki. Naomba tushukuru sana kuwa nchi hii, na kabla ya kuwa nchi, watawala wa wa huku walikuwa wa Islam.
Leo, tunaweza kusema kuwa Tanzania ni kisiwa cha amani! Jee, Nyerere alikikuta hiki kuwa ni kisiwa cha machafuko na hakina amani? No! hapana, aliikuta amani, na alikuta watu wa hapa ni wastaarabu na ndio waliomfundisha hata namna ya kuvaa. Jee, unajuwa kuwa nyerere alifundishwa kuvaa suruali na muIslam? na suruali ya kwanza kuvaa nyerere aliazimwa na muIslam? kama hujui sema tukueleze, na jina tutamtaja, huyoo aliemuzima na kumfundisha kuvaa suruali Nyerere.
Leo, mnakuja oooh udini, CCM ya waIslam, sijui nini na nini na ninihii.
Ndio, CCM ya wa Islam, Na Chadema si ya WaIslam na waIslam ndio watawala. Sasa mnataka iweje?